Obhusegwe
JF-Expert Member
- Dec 28, 2008
- 231
- 28
Jamani watu wanasema hizi engine ni mbovu sana, lakini nadhani ni uelewamdogo wa jinsi ya kuzirepair kwani ni engine ngeni ukilinganisha na nyingine.
Kama kuna mtaalam aliyebobea ktk ishu za engine, anikontact kwa PM nimpe dili la kazi, atapata wateja wengi kwani hizi engine zipo kibao siku hizi, kuanzia premio, vista mpaka hilux nazo zinakuja na engine za d4.
Pls contact me kuna ulaji, wengi hawajastukia.
cheers
Kama kuna mtaalam aliyebobea ktk ishu za engine, anikontact kwa PM nimpe dili la kazi, atapata wateja wengi kwani hizi engine zipo kibao siku hizi, kuanzia premio, vista mpaka hilux nazo zinakuja na engine za d4.
Pls contact me kuna ulaji, wengi hawajastukia.
cheers