Mtaalam wa engine za D4

Obhusegwe

JF-Expert Member
Dec 28, 2008
231
28
Jamani watu wanasema hizi engine ni mbovu sana, lakini nadhani ni uelewamdogo wa jinsi ya kuzirepair kwani ni engine ngeni ukilinganisha na nyingine.

Kama kuna mtaalam aliyebobea ktk ishu za engine, anikontact kwa PM nimpe dili la kazi, atapata wateja wengi kwani hizi engine zipo kibao siku hizi, kuanzia premio, vista mpaka hilux nazo zinakuja na engine za d4.

Pls contact me kuna ulaji, wengi hawajastukia.

cheers
 
Mkkuuu
angalizo ;akuna wataalam wa engine za d4 kaka
wenye kutengeneza wametoa na email
wamekosea kutengeneza hizo engine wamekubali na malalamiko
na ikafika wanadai wazirudishe japana;we wa mbagala na japan wapi na wapi.....utakutana na matapeli wengi mie yangu ilikuwa na gundu hivyo hivyo siui fundi gani nilimwacha;nikaishia kuitoa na kuuza spare;
cha kukusaidia washauri wa replace na engine ya rav4 3s,ama 3s ya corola,else jiandaee kukamuliwa vilivyo
 
Rafiki yangu anayefanya biashara ya kuagiza magari kutoka Japan nilimuuliza kuhusu hizi injini za D4. Aliniambia tatizo ni kwamba mafundi wa hapa hawajozea injini ya aina hiyo ambayo alisema ni ya kisasa, yaani tatizo ni elimu ya mafundi wetu kukabiliana na injini za kisasa.
 
Rafiki yangu anayefanya biashara ya kuagiza magari kutoka Japan nilimuuliza kuhusu hizi injini za D4. Aliniambia tatizo ni kwamba mafundi wa hapa hawajozea injini ya aina hiyo ambayo alisema ni ya kisasa, yaani tatizo ni elimu ya mafundi wetu kukabiliana na injini za kisasa.

mkuu tatizo si la kisasa wala!!!
kuna karatsi nililetewa kutoka kwenye website za japan za magari ntajaribu kuulizia mwezi mmoja uliopita kaka,wakiomba samahani kwa engine za d4
hapo tatizo aliwezi kuwa la mafundi lao wenyewe
 
D4 engines are same as GDi engines in mitsubishi,they are modern,i do not expect mechanics wa bongo waweze kutengeneza haya magari,wakati hata kufanya computer diagnostics kwao ni technolojia mpya na ya ajabu!

ushauri kwa hawa mafundi,Japanese car makers will not stop producing modern engines because a lazy mechanic in TZ will not learn to fix engines.sooner or later all cars will be directly injected cars with turbo's.Mercedes 2010 entire lineup is Turbocharged.ofcuz it will take Toyota 10 yeas to do that,and 5 more years for that wave to finally hit Tanzania.
advice to mechanics(i doubt if most of them are even reading this).go back to school,learn.dont complain all he time.No engine that comes out of a Toyota Factory is that BAD.those same D4 engines you are raving about have won multiple awards for reliability and performance.

in the world no one judges a car by how easy it is to fix!rather how good it is to maintain,its fuel efficiency,durability etc.

mkichelewa mtashangaa mechanics wote wametoka CHINA,wakitengeneza magari kama vile wanavyowa-replace wamachinga kariakoo.
 
D4 engines are same as GDi engines in mitsubishi,they are modern,i do not expect mechanics wa bongo waweze kutengeneza haya magari,wakati hata kufanya computer diagnostics kwao ni technolojia mpya na ya ajabu!

ushauri kwa hawa mafundi,Japanese car makers will not stop producing modern engines because a lazy mechanic in TZ will not learn to fix engines.sooner or later all cars will be directly injected cars with turbo's.Mercedes 2010 entire lineup is Turbocharged.ofcuz it will take Toyota 10 yeas to do that,and 5 more years for that wave to finally hit Tanzania.
advice to mechanics(i doubt if most of them are even reading this).go back to school,learn.dont complain all he time.No engine that comes out of a Toyota Factory is that BAD.those same D4 engines you are raving about have won multiple awards for reliability and performance.

in the world no one judges a car by how easy it is to fix!rather how good it is to maintain,its fuel efficiency,durability etc.

mkichelewa mtashangaa mechanics wote wametoka CHINA,wakitengeneza magari kama vile wanavyowa-replace wamachinga kariakoo.


Hizi inaonekana kama fact za ukweli
 
Mkkuuu
angalizo ;akuna wataalam wa engine za d4 kaka
wenye kutengeneza wametoa na email
wamekosea kutengeneza hizo engine wamekubali na malalamiko
na ikafika wanadai wazirudishe japana;we wa mbagala na japan wapi na wapi.....utakutana na matapeli wengi mie yangu ilikuwa na gundu hivyo hivyo siui fundi gani nilimwacha;nikaishia kuitoa na kuuza spare;
cha kukusaidia washauri wa replace na engine ya rav4 3s,ama 3s ya corola,else jiandaee kukamuliwa vilivyo

Ina maana solution ya engine za d4 ni kuzibadili? Sioni kama naweza kukuamini mkuu, mbona kuna gari mingi tu inazidi kuja na hizo engine? si wangekuwa wameacha kutengeneza?
 
Mtafute fundi Arnold, yupo Namanga nyuma ya Best Bite - atakupa solutions kwa magari ya kila aina. Tembelea website yake Berks Auto Shop upate contacts na maelezo mengine.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom