Mtaalam, mwenye uwezo na mzoefu wa kuongea na maruhani anahitajika

Wana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa.

Anaye mfahamu mtu huyo tafadhali msaada ni kwa nia njema sana maana kuna mambo yanahitaji ufafanuzi.

Karibuni mwenye uwezo mkubwa na caliber hiyo haya ni mazungumzo ya ana kwa ana.
Acha ushirikina kijana
 
Wana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa.

Anaye mfahamu mtu huyo tafadhali msaada ni kwa nia njema sana maana kuna mambo yanahitaji ufafanuzi.

Karibuni mwenye uwezo mkubwa na caliber hiyo haya ni mazungumzo ya ana kwa ana.
Naweza kukusaidia. Ninao utaalamu. Kama ulivyo tangaza ila ni vyema ungetafautisha uwelewa wako wa majini ya kawaida na majini marauhani... Kawiho kabla sijakusaidia ni vyema ungenifafanulia umetumia Bughuri gani kuyatambua kua Marauhani sio majini ya kawaida?
 
Maruhani ni mapepo na mapepo ni mawakala wa shetani, huwezi kuongea na shetani bila ww pia kuwa wakala WA shetani!

Mm nikiongea nayo nitayafukuza kabisa, maana sina urafiki na maruhani, hivyo kama unata niyafukuze kabisa nipe hiyo kazi, nitakufanyia bure mm! Nakuja hapo na jina La Yesu Tu!
 
Naweza kukusaidia. Ninao utaalamu. Kama ulivyo tangaza ila ni vyema ungetafautisha uwelewa wako wa majini ya kawaida na majini marauhani... Kawiho kabla sijakusaidia ni vyema ungenifafanulia umetumia Bughuri gani kuyatambua kua Marauhani sio majini ya kawaida?
Ah ufafanuzi tena kuhusu majini na maruhani ina maana ww mwenyewe huelewi tofauti pamoja na kuwa una uwezo huo.
 
Ah ufafanuzi tena kuhusu majini na maruhani ina maana ww mwenyewe huelewi tofauti pamoja na kuwa una uwezo huo.
Ww umetangaza kumtafuta mtaalamu anaeweza kuongea na MARAUHANI. Mimi bado ujanikutanisha na mlengwa. Kuna utafauti wa baina jini wa kawaida na marauhani.ingawa yote ni majini.. Kitaaluma kuna vitu unafanya na kusoma kuwatafautisha ila ww tayari umeshatangaza kua ni Marauhani. Kwahiyo mimi mimi kabla sijakufanyia kazi ni lazma unidhibitishe.ili tuweze kuelewana.. Lasivyo itanilazimu nikufanyie kazi ya ziada.
 
Naweza kukusaidia. Ninao utaalamu. Kama ulivyo tangaza ila ni vyema ungetafautisha uwelewa wako wa majini ya kawaida na majini marauhani... Kawiho kabla sijakusaidia ni vyema ungenifafanulia umetumia Bughuri gani kuyatambua kua Marauhani sio majini ya kawaida?
Ah ufafanuzi tena kuhusu majini na maruhani ina maana ww mwenyewe huelewi tofauti pamoja na kuwa una uwezo huo.
Maruhani ni nini?
uzi mwingine tena huu
 
Back
Top Bottom