Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,562
- 47,010
Umeokoka sionimeacha nina mwezi sasa
Umeokoka sionimeacha nina mwezi sasa
Acha ushirikina kijanaWana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa.
Anaye mfahamu mtu huyo tafadhali msaada ni kwa nia njema sana maana kuna mambo yanahitaji ufafanuzi.
Karibuni mwenye uwezo mkubwa na caliber hiyo haya ni mazungumzo ya ana kwa ana.
Haina tabu.Malizia ujana bwana tuje kucheza kwaito
Hatuutakii banaaHahhaa hauishi bwana
Naweza kukusaidia. Ninao utaalamu. Kama ulivyo tangaza ila ni vyema ungetafautisha uwelewa wako wa majini ya kawaida na majini marauhani... Kawiho kabla sijakusaidia ni vyema ungenifafanulia umetumia Bughuri gani kuyatambua kua Marauhani sio majini ya kawaida?Wana Body, anahitajika mtaalam, mwenye uzoefu na mwenye uwezo wa kuongea na MARUHANI, atalipwa kwa kazi hii ya masaa machache au lisaa tu. swala hili ni nyeti sana kuna mazungumzo ya kina na maswali na majibu yatahitaji kujibiwa na kuulizwa.
Anaye mfahamu mtu huyo tafadhali msaada ni kwa nia njema sana maana kuna mambo yanahitaji ufafanuzi.
Karibuni mwenye uwezo mkubwa na caliber hiyo haya ni mazungumzo ya ana kwa ana.
Kabisa mimi ni wa nuruni sasaUmeokoka sio
Nipo kaka..nipo kama woteMshana Jr unahitajika huku upesi
Utakuwa ulimpagawisha Sana kwa yale Mambo ya pwaniMndele mpana wewe...
Kweli kabisa.
Sie tunajua kupendwa, kuachwa hatujui mndele.
Shem wako anataka ndoa, nami sijamaliza ujana shost...nimempa mitihani, naona kafeli huyo Mung Chris
Ah ufafanuzi tena kuhusu majini na maruhani ina maana ww mwenyewe huelewi tofauti pamoja na kuwa una uwezo huo.Naweza kukusaidia. Ninao utaalamu. Kama ulivyo tangaza ila ni vyema ungetafautisha uwelewa wako wa majini ya kawaida na majini marauhani... Kawiho kabla sijakusaidia ni vyema ungenifafanulia umetumia Bughuri gani kuyatambua kua Marauhani sio majini ya kawaida?
Try himMshana anajua kuandika tu vya ku google na kuhadthiwa ila hakuna ajualo in reality
Jamaa anataka hudumaNipo kaka..nipo kama wote
Ww umetangaza kumtafuta mtaalamu anaeweza kuongea na MARAUHANI. Mimi bado ujanikutanisha na mlengwa. Kuna utafauti wa baina jini wa kawaida na marauhani.ingawa yote ni majini.. Kitaaluma kuna vitu unafanya na kusoma kuwatafautisha ila ww tayari umeshatangaza kua ni Marauhani. Kwahiyo mimi mimi kabla sijakufanyia kazi ni lazma unidhibitishe.ili tuweze kuelewana.. Lasivyo itanilazimu nikufanyie kazi ya ziada.Ah ufafanuzi tena kuhusu majini na maruhani ina maana ww mwenyewe huelewi tofauti pamoja na kuwa una uwezo huo.
Ah ufafanuzi tena kuhusu majini na maruhani ina maana ww mwenyewe huelewi tofauti pamoja na kuwa una uwezo huo.Naweza kukusaidia. Ninao utaalamu. Kama ulivyo tangaza ila ni vyema ungetafautisha uwelewa wako wa majini ya kawaida na majini marauhani... Kawiho kabla sijakusaidia ni vyema ungenifafanulia umetumia Bughuri gani kuyatambua kua Marauhani sio majini ya kawaida?
uzi mwingine tena huuMaruhani ni nini?
Woyooo nkunda mdumange imiHaina tabu.
Mwaka huu ukiisha tu...nitakuwa nishapevuka.....mtakula pilau shoga
Hahahhah kwamba ndugu yetu aachikeHatuutakii banaa