GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,795
Tukiwa tunawaambieni kuwa pendeni kufanya mazoezi na acheni 'kufakamia' mivyakula yenu hiyo ya mafuta mafuta na kuishi kwa 'kubweteka' na mfanye sana mazoezi ili muwe 'fiti' kiafya kama akina GENTAMYCINE, huwa hamtuelewi na wengine mkidhani kuwa labda tunakuwa tunawaonea wivu na huo ulaji wenu wa 'kitajiri' mnaojisifu nao.
Sasa ni rasmi kuwa 99.999% ya wanaume wanaougua kisukari huwa 'wanachapiwa' sana wake zao kwakuwa mwanaume akishakuwa tu na hilo tatizo uwezo wake wa kusimamisha uume inavyotakiwa.
Unakutana na mwanaume mzima uko nae ndani ya Daladala nae anamuita kondakta tena bila aibu kabisa na uso wake ukiwa mkavu akimwomba amshushie kituo cha msaada ili mradi tu asitembee umbali mrefu na aweze kufika kwake bila kutokwa na jasho lolote lile.
Hivi mimi GENTAMYCINE ambaye naishi Pugu mnadhani huwa nakuwa ''Popoma'' pale nikipanda zangu Daladala Kariakoo kisha nikifika pale TAZARA nashuka kisha naanza kutembea kwa miguu hadi nafika maghetoni kwangu Pugu? na kwa wanaume wengi kutopenda kufanya mazoezi 'mtachapiwa' mno hadi mkome.
Kwa uhondo kamili wa hili tatizo la ugonjwa wa kisukari linalopelekea wanaume wengi wenye nao 'kuchapiwa' wake zao kwakuwa huwa wanakuwa hawana uwezo wa kusimamisha vyema minara yao ya Babeli na kulitendea vyema tendo la ngono, tafuta gazeti la leo la Tanzania Daima kwani huko mtaalam 'kafunguka' kinomanoma.
Sasa ni rasmi kuwa 99.999% ya wanaume wanaougua kisukari huwa 'wanachapiwa' sana wake zao kwakuwa mwanaume akishakuwa tu na hilo tatizo uwezo wake wa kusimamisha uume inavyotakiwa.
Unakutana na mwanaume mzima uko nae ndani ya Daladala nae anamuita kondakta tena bila aibu kabisa na uso wake ukiwa mkavu akimwomba amshushie kituo cha msaada ili mradi tu asitembee umbali mrefu na aweze kufika kwake bila kutokwa na jasho lolote lile.
Hivi mimi GENTAMYCINE ambaye naishi Pugu mnadhani huwa nakuwa ''Popoma'' pale nikipanda zangu Daladala Kariakoo kisha nikifika pale TAZARA nashuka kisha naanza kutembea kwa miguu hadi nafika maghetoni kwangu Pugu? na kwa wanaume wengi kutopenda kufanya mazoezi 'mtachapiwa' mno hadi mkome.
Kwa uhondo kamili wa hili tatizo la ugonjwa wa kisukari linalopelekea wanaume wengi wenye nao 'kuchapiwa' wake zao kwakuwa huwa wanakuwa hawana uwezo wa kusimamisha vyema minara yao ya Babeli na kulitendea vyema tendo la ngono, tafuta gazeti la leo la Tanzania Daima kwani huko mtaalam 'kafunguka' kinomanoma.