Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

Naunga mkono hoja, lakini naona shida kwenye uanzaji na utekelezaji, kwasababu tuna walimu wengi "uwezo mdogo" Yan unakuta mwanafunzi yupo nondo kumzidi hata mwalimu wake(seriously, shahidi mwenyewe) .Sasa tukisema tuanzishe mtaala mpya ,watekelezaji watakuwa walimu wa aina gan?.maana hakuna mazingira ya kumfanya "kipanga" apende ualimu (Hela hakuna, changamoto kama zote)
 
Habari wadau

Kenya wameachana na mitihani wa Taifa mmoja kwa ajili ya kumpima mwanafunzi pale anapomaliza elimu yake ya msingi. Mtihani wa taifa umefutwa.

Mwanafunzi atakuwa anapimwa kwa uwezo wake kwa vitendo toka anavyoanza shule mpaka anapomaliza. New sylabus yao wanaiita CBC yaani competence based carriculum

Bongo tunakosea wapi? Mpaka leo wanafunzi wa darasa la nne na la saba wanalazimishwa wakae boarding ili wafaulu mtihani. Ama shuleni wafike asubuhi na watoke jioni ama usiku kisa tution za kujiandaa na mtihani wa taifa.

Why wasipimwe kwa vitendo huko mashuleni kama kupewa bustani washindane kilimo, mifugo kufuga, ufundi, washindane kucheza michezo mbali mbali, ufundi na ushonaji, kuandika codes, etc etc

=======

President Uhuru Kenyatta scraps off KCPE exams against the advice of Prof George Magoha. The president also applauds the new based curriculum Competency-Based Curriculum (CBC).

President Uhuru Kenyatta has announced the end of the Kenya Certificate of Primary Education (KCPE) for pupils who will undergo the newly introduced Competency-Based Curriculum (CBC).

Under the CBC, pupils will stop primary school education until Grade six before proceeding to lower secondary in Grades seven, eight, and nine.

Kenyatta said there would be no exams in grade six, saying it would facilitate 100 percent transition to secondary schools.


Image result for UHURU SRAPS OFF KCPE AND CBC LAUNCHING


He made the announcement during the CBC Conference held at KICC.

The announcement was in sharp contrast to a recommendation by Education CS George Magoha who had told a parliamentary committee in July that he was for a national examination to determine which secondary schools pupils would be admitted.

“There must be an examination in Year Six or it will be difficult to decipher who goes where,” Magoha said on how pupils would transition to secondary school.

The CBC programme which was launched in 2019, will incorporate a 2-6-3-3-3 model starting from nursery (two years), primary school (6 years), and three years each in lower secondary, upper secondary, and in university.

Given the CBC was rolled out to Standard one pupils in January this year, the first batch of students to transition to secondary school will do so in 2024.

It remains unclear the criteria that would be used to place pupils in the secondary schools of their choice.


 
Its a high time nadhani wamegundua kumpima mtu uwezo wake kwa kutumia mitihani miwili, mitatu au hata mitano sio njia sahihi ya kupima uweledi na uwezo halisi wa mwanafunzi.

Nadhani hii itafungua milango kwa nchi jirani na hasa za Jumuiya Ya Afrika Mashariki kujifunza kitu ili walau tuweze kupata matokeo chanya na pia kuwa na uwezo mzuri wa ushindani kwenye soko la ajira la sasa.
 
Tuweke wazi kwenye hili tuna walimu vilaza wengi sana halafu wabishi kishenzi, yaani unataka kuwaweka watoto boarding huna miundombinu rafiki sasa fikilia tu hizi shule za town mwalimu analazimisha kabisa akae boarding kweli
 
Ngoja wale mazero-brain mataga waje. Utasikia wakisema kwamba CBC ni upumbavu tu, eti na wakenya wanajiona wajanja sana. Sawa tu na walivojadili zile habari za Rwanda kurusha satellite. Huwa nawaonea huruma sana baadhi ya watanzania, ambao wana maono yenye tija na upendo wa kweli kwa nchi yao. Itakuwa ni kibarua kigumu sana kuvumilia pumba za sampuli hiyo kutoka kwa wananchi wenzao.
 
Ngoja wale mazero-brain mataga waje. Utasikia wakisema kwamba CBC ni upumbavu tu, eti na wakenya wanajiona wajanja sana. Sawa tu na walivojadili zile habari za Rwanda kurusha satellite. Huwa nawaonea huruma sana baadhi ya watanzania, ambao wana maono yenye tija na upendo wa kweli kwa nchi yao. Itakuwa ni kibarua kigumu sana kuvumilia pumba za sampuli hiyo kutoka kwa wananchi wenzao.

Kwanza umekula unavyobwabwaja hapa!!? Unaongelea satellite wakati milo mitatu kwa siku ni msamiati kwa wakenya walio wengi kutia ndani na wewe. Unga ulivyopanda bei, mmetishia hampigi kura. Yaani basic needs mko nyuma sana, halafu unajipiga kifua kuhusu satellite.
Wakati rais wenu anafanya kazi ya kutangaza bei ya unga. Sijui waziri wa chakula yuko wapi!!?

🤣 😜 😜 😁


20220720_204231.jpg


 
Ngoja wale mazero-brain mataga waje. Utasikia wakisema kwamba CBC ni upumbavu tu, eti na wakenya wanajiona wajanja sana. Sawa tu na walivojadili zile habari za Rwanda kurusha satellite. Huwa nawaonea huruma sana baadhi ya watanzania, ambao wana maono yenye tija na upendo wa kweli kwa nchi yao. Itakuwa ni kibarua kigumu sana kuvumilia pumba za sampuli hiyo kutoka kwa wananchi wenzao.
Huo ni upumbavu kweli tena muda siyo mrefu wakenya mtaanza kulia na kupinga huo mfumo bora mgetumia mbinu zote mbili mgeanza na huo mfumo na kuchuja wanafunzi ili mpate wachache watakao fanya mitihani ya kawaida kama zamani
 
Siyo kila kitu ni sahihi kwa kila nchi acha kenya waanze sisi tutakuja na chetu au kuboresha chuo. Hata bongo wataalamu wapo
 
Back
Top Bottom