Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,302
- 24,143
(Guardian leo 15/12/2018)
Kama kuna athari za machinga hujaziona, basi pita mtaa huo wa Uhuru/Congo ujionee.
Mkandarasi hata mahali pa kumwaga kifusi hakuna, utitiri wa machinga upo kila kona pamoja na wateja wao.
Nimeona utepe na mazege ya kuzuia watu, lakini hakuna anayeheshimu.
Haya ndo matatizo ya machinga.