ipo siku utakufa
Senior Member
- Dec 8, 2016
- 146
- 529
Tuacheni masihara mtaa wa Congo uliopo kariakoo hapafai ,huu mtaa kila siku ya Mungu kuna msongamano wa watu na hivi karibuni ndio kabisa umati wa watu unajaa ,kiusema kweli huu mtaa mimi siupendi na sikatishi kabisa ikitokea nimeingia huu mtaa natafuta njia ya kuukwepa..
jua+kubanana=reaction utakayoipata ni hatari.
Na mtaa huu watu huibiwa sana vitu vyao wanachomolewa bila kujijua..
Huu mtaa nashauri halmashauri waweke geti watu wanaoingia na kutoka walipe pesa ili kudhibiti msongamano,foleni ,kubanana
Congo weka mbali na watoto
jua+kubanana=reaction utakayoipata ni hatari.
Na mtaa huu watu huibiwa sana vitu vyao wanachomolewa bila kujijua..
Huu mtaa nashauri halmashauri waweke geti watu wanaoingia na kutoka walipe pesa ili kudhibiti msongamano,foleni ,kubanana
Congo weka mbali na watoto