Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Linaeza kuwa swali la kijinga, lakini kiukweli linanitatiza. na ni muhimu kwangu na watoto wangu, na huenda hata baadhi yenu.
Naomba majibu mujarabu ya kitaalamu,
Je ni muda gani optimum wa kutumia mswaki?
Madhara ya kuzidisha huo muda ni yepi (kaa yapo)?
Mswaki unaotumika currently kiafya unatakiwa utunzwe wapi na kivipi?
Kimshazari, wima, au chali, kichwa chini?
NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.
Naomba majibu mujarabu ya kitaalamu,
Je ni muda gani optimum wa kutumia mswaki?
Madhara ya kuzidisha huo muda ni yepi (kaa yapo)?
Mswaki unaotumika currently kiafya unatakiwa utunzwe wapi na kivipi?
Kimshazari, wima, au chali, kichwa chini?
NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.