Mswaki: Ni baada ya muda gani niutupe?

Abdulhalim

Platinum Member
Jul 20, 2007
17,193
3,011
Linaeza kuwa swali la kijinga, lakini kiukweli linanitatiza. na ni muhimu kwangu na watoto wangu, na huenda hata baadhi yenu.

Naomba majibu mujarabu ya kitaalamu,

Je ni muda gani optimum wa kutumia mswaki?

Madhara ya kuzidisha huo muda ni yepi (kaa yapo)?

Mswaki unaotumika currently kiafya unatakiwa utunzwe wapi na kivipi?
Kimshazari, wima, au chali, kichwa chini?

NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.
 
Mweee umekuwa mkali kweli leo.
anyway back to the topic: unashauriwa mswaki utumie ndani ya miezi 3 tuu ikishapita tupa nunua mwingine. Kuhusu madhara ya kuzidisha ni wamba unavyoupigia zaidi ya muda huo wa miezi mitatu nguvu yake inakuwa imekwisha ya kusugua meno na kutakatisha. inakuwa overused na matokeo inakuwa kama unajipakaza uchafu tena.

Kiafya mswaki should be kept in an open space where kuna hewa nyingi inapita na i suppose unapaswa usimamishwe kichwa juu hata ukiangalia vyombo vya kuekea mswaki kwa kidhungu Toothbrush Holder vina design ya kueka hivo.

Punguza ukali basi kidogo kaka au vipi..........
 
Mweee umekuwa mkali kweli leo.
anyway back to the topic: unashauriwa mswaki utumie ndani ya miezi 3 tuu ikishapita tupa nunua mwingine. Kuhusu madhara ya kuzidisha ni wamba unavyoupigia zaidi ya muda huo wa miezi mitatu nguvu yake inakuwa imekwisha ya kusugua meno na kutakatisha. inakuwa overused na matokeo inakuwa kama unajipakaza uchafu tena.

Kiafya mswaki should be kept in an open space where kuna hewa nyingi inapita na i suppose unapaswa usimamishwe kichwa juu hata ukiangalia vyombo vya kuekea mswaki kwa kidhungu Toothbrush Holder vina design ya kueka hivo.

Punguza ukali basi kidogo kaka au vipi..........

Shukran kwa maelezo yako. Siko mkali ni kawaida yangu tu ktk kujaribu kutumia muda vizuri, usinielewe vibaya. Sikujua mambo ya miezi 3, itabidi kesho nikanunue mswaki mpya..ishakuwa soo tena. Mi nilikua nachukulia miezi 6. Mambo ya toothbrush holder bado kidogo ..
 
ingawa hujasema unazungumzia mswaki gani, lakini hakuna muda specific unaopendekezwa kitaalam kuwa unafaa kutumia mswaki kabla hujautupa, muda wa matumizi unategemea aina na uimara wa mswaki. kumbuka kuna miswaki ya vidole, mpira, uzi (au nyuzi), miti, na plastiki (brashi za plastiki) ambayo ni ya kisasa zaidi.

kwa miswaki ya brashi za plastiki, unashauriwa kutumia mswaki hadi utakapoona nyuzi zake (zile za plastiki) zinachomoka au kupinda. ikifikia hapo unashauriwa kununua mwingine bila kujali muda gani umetumia hata kama ni siku moja kwani ikiwa imepinda haiwezi kupenya hadi kwenye mbavu za meno yako (sehemu za kati ya jino na jino) na fizi (gums) kwa ajili ya usafi muafaka wa meno na kinywa chako.

kwaa miswaki ya miti unatakiwa kuutafuna mara kwa mara (angalau kila baada ya siku tatu) ili kwezesha kusafisha hadi ehemu za katikati ya meno ako na usiutafune sana hadi ukarainika kupita kiasi.

miswaki ya nyuzi ni maalum kwa kusafishia kati ya jino na jino na kuondoa mabaki ya chakila na uchafu wa muda mrefu usiofikiwa kirahisi na miswaki mingine. huu unatakiwa kutumika hadi utakapodhoofika n akukatika.

miswaki mingine haishauriwi kutumika kitaalamu kutokana na uduni wake

utunzaji wake pia utehemea aina ya mswaki, lakini unashauriwa kuutunza kwa namna mabayo utabaki msafi na mkavu kwa ajili ya matumizi yanayofuata
 
Linaeza kuwa swali la kijinga, lakini kiukweli linanitatiza. na ni muhimu kwangu na watoto wangu, na huenda hata baadhi yenu.

Naomba majibu mujarabu ya kitaalamu,

Je ni muda gani optimum wa kutumia mswaki?

Madhara ya kuzidisha huo muda ni yepi (kaa yapo)?

Mswaki unaotumika currently kiafya unatakiwa utunzwe wapi na kivipi?
Kimshazari, wima, au chali, kichwa chini?

NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.
kwa ujumla wangu pia umepotea leo na ndio nikapata wazo ninunue mwingine,kuhusu muda nilioutumia mmh hata sikumbuki,anyway sasa nimeelewa ni ndani ya miezi mitatu tu,thanx JS
 
ingawa hujasema unazungumzia mswaki gani, lakini hakuna muda specific unaopendekezwa kitaalam kuwa unafaa kutumia mswaki kabla hujautupa, muda wa matumizi unategemea aina na uimara wa mswaki. kumbuka kuna miswaki ya vidole, mpira, uzi (au nyuzi), miti, na plastiki (brashi za plastiki) ambayo ni ya kisasa zaidi.

kwa miswaki ya brashi za plastiki, unashauriwa kutumia mswaki hadi utakapoona nyuzi zake (zile za plastiki) zinachomoka au kupinda. ikifikia hapo unashauriwa kununua mwingine bila kujali muda gani umetumia hata kama ni siku moja kwani ikiwa imepinda haiwezi kupenya hadi kwenye mbavu za meno yako (sehemu za kati ya jino na jino) na fizi (gums) kwa ajili ya usafi muafaka wa meno na kinywa chako.

kwaa miswaki ya miti unatakiwa kuutafuna mara kwa mara (angalau kila baada ya siku tatu) ili kwezesha kusafisha hadi ehemu za katikati ya meno ako na usiutafune sana hadi ukarainika kupita kiasi.

miswaki ya nyuzi ni maalum kwa kusafishia kati ya jino na jino na kuondoa mabaki ya chakila na uchafu wa muda mrefu usiofikiwa kirahisi na miswaki mingine. huu unatakiwa kutumika hadi utakapodhoofika n akukatika.

miswaki mingine haishauriwi kutumika kitaalamu kutokana na uduni wake

utunzaji wake pia utehemea aina ya mswaki, lakini unashauriwa kuutunza kwa namna mabayo utabaki msafi na mkavu kwa ajili ya matumizi yanayofuata

Nway, haya bana nimekuelewa.
 
kwa ujumla wangu pia umepotea leo na ndio nikapata wazo ninunue mwingine,kuhusu muda nilioutumia mmh hata sikumbuki,anyway sasa nimeelewa ni ndani ya miezi mitatu tu,thanx JS

Ehh ?ati? Umepotea? Sasa ulikua unafanyajefanyaje?

Duh, kaaz kwelikweli, naona somo linasaidia..
 
Nyongeza: Pia ukiugua magonjwa ambayo yanasababisha bakteria kunywani mfono vidonda kweye koo/sore throat au influenza wataalamu wanashauri ubadilishe mswaki mara baada ya kupona.
 
Linaeza kuwa swali la kijinga, lakini kiukweli linanitatiza. na ni muhimu kwangu na watoto wangu, na huenda hata baadhi yenu.

Naomba majibu mujarabu ya kitaalamu,

Je ni muda gani optimum wa kutumia mswaki?

Madhara ya kuzidisha huo muda ni yepi (kaa yapo)?

Mswaki unaotumika currently kiafya unatakiwa utunzwe wapi na kivipi?
Kimshazari, wima, au chali, kichwa chini?

NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.

Huwa baada ya miezi sita. Choose flexi tooth brush na tunza kwenye toothbrush holder. Inabidi uwe makini ambapo mnakaa watu wengi kwa sababu kuna tendency ya kutumia mswaki ambao sio wa kwako. Kwa hiyo ni vizuri chioce za mswaki ziwe rangi tofauti .

Pia muhimu kumwona dentist mara mbili kwa mwaka.
 
Kila uamkapo asubuhi, na wakati mwingine ukigundua meno yako ni machafo
 
mi sred mingine inaudhi sana! kwani we huoni kama jimswaki lako limeisha ukachonge jingine porini au ukanunue dukani?

Mbona Abdulhalim katoa angalizo zuri sana kama inavyoonekana hapa chini


"NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.
"
 
Mbona Abdulhalim katoa angalizo zuri sana kama inavyoonekana hapa chini


"NB: Tafwadhaal nipo chini ya miguu yako, kaa huna input ione sred hii kaa kituo cha polisi.
"

Ahh..sikuiona hii post ya Pepe..Oh nimekumbuka, kumbe yumo kwenye ignore list ..he he he he..
 
M'ngu unatakiwa kila jioni baada ya chakula na kabla ya kulala upige mswaki. Hii ni kwa sababu ya kuondoa mabaki ya chakula na hivyo kuondoa uwezekano wa bacteria kufanya kazi yao pale na kuharibu meno yako!!!! Nadhani umenipata mdau
 
Back
Top Bottom