The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa,
Nilicheka sana leo braza tatum alipoleta uz wa korosho.
Wakulima wa korosho huko kusini wamesusia mnada kwasababu bei ya korosho kwa kilo imeshuka kutoka 4000 hadi 2100.
Kabla ya hapo ilivyokuwa 4000 kwa kilo walikuwa malimbukeni na jeuri ya hela hadi mbuzi waliwanywesha bia.
Nadhani hii ilimuudh bwana mkubwa kwasab hapendi wengine kufurahia maisha
Nilicheka sana leo braza tatum alipoleta uz wa korosho.
Wakulima wa korosho huko kusini wamesusia mnada kwasababu bei ya korosho kwa kilo imeshuka kutoka 4000 hadi 2100.
Kabla ya hapo ilivyokuwa 4000 kwa kilo walikuwa malimbukeni na jeuri ya hela hadi mbuzi waliwanywesha bia.
Nadhani hii ilimuudh bwana mkubwa kwasab hapendi wengine kufurahia maisha