Nipokea huu mswada wa katiba mpya ,wazalendo tuujadilini tuvishungue vifungu kimoja baada kimoja kama unatupa furasa nzuri ya kutoka maoni wananchi.
Tusitumie maneno ya kuropoka ropoka ispokuwa tusome kwa umakini sana tuujadili.
Fungua down below hapo Scribd
mswada hauonekan vizuri it seems umekuwa scanned ndio maana, kama una pdf doc jaribu kuupload tena, maana nilivyoufungua hata kuprint imeshindikana, alafu uko verison ya kiingereza tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.