Duplicate_90
JF-Expert Member
- Mar 29, 2020
- 272
- 308
Mswada wa sheria unaopelekwa bungeni kumkinga Rais, Jaji Mkuu, Spika na Naibu dhidi ya kushtakiwa wakiwa madarakani, unaweza kuwa na manufaa hata kwa wapinzani endapo watashinda uchaguzi na kuunda serikali.
Kwa upande wangu binafsi sina shida sana na hilo ila nina maswali kama matatu hivi.
1. Ni kwanini ni rahisi sana kupeleka miswada ya kuwakinga watu na sio wa kudai tume huru ya uchaguzi?
2. Hawaoni kufanya hivo kutawapa watawala wetu kiburi cha kuendelea kuvunja katiba ya nchi na kutumia madaraka yao vibaya?
3. Je, Bunge la jmt linaweza kutunga na kupitisha sheria inayokinzana na katiba ya nchi?
Naomba kuwasilisha!
Kwa upande wangu binafsi sina shida sana na hilo ila nina maswali kama matatu hivi.
1. Ni kwanini ni rahisi sana kupeleka miswada ya kuwakinga watu na sio wa kudai tume huru ya uchaguzi?
2. Hawaoni kufanya hivo kutawapa watawala wetu kiburi cha kuendelea kuvunja katiba ya nchi na kutumia madaraka yao vibaya?
3. Je, Bunge la jmt linaweza kutunga na kupitisha sheria inayokinzana na katiba ya nchi?
Naomba kuwasilisha!