Msuya aionya serikali ya JK

Adrian Stepp

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
2,764
2,581
Waziri Mkuu mstaafu Cleopa David Msuya, ameipa live serikali ya Jakaya Kikwete kua, kama itashindwa kuyakabili matatizo ya Umeme na ajira kwa vijana basi siku si nyingi Nchii hii itakua kama Libya ama Tunisia

Msuya aliyasema hayo leo asubuhi wakati wa mjadala wa kitaifa uliondaliwa na taasisi ya sekta binafsi Tanzania.

"Its a shame for a 50 years old country kukosa umeme.. kama serikali itashindwa kutimiza matakwa yake basi siku si nyingi Tanzania itakua kama Tunisia."

Msuya aliyasema hayo huku akishuhudiwa na William Ngeleja, Mary Nagu, Friedrick Sumaye, zitto kabwe na baadhi ya wanaharakati na wadau kadhaa wa taasisi hiyo.

"only 14% enjoys the umeme, the rest wote wako vijijini..ni aibu kwa serikali..as a country we are sorounded by 8 countries, tunazitendea haki kweli? are serving them properly? the government must take advantage of everything and generate economic returns to its people" alimalizia Msuya na kushangiliwa kupita kiasi.


Source: Mimi mwenyewe!
 
ccm na serikali zake inajitahdi kutatua matatizo ya wananchi wa nchi hii ikiwemo hayo yalioainishwa na kabla a 2015 mambo ya akuwa historia
 
saaaafi sana ila sasa kama ilikua tangu asubuhi mbona umechelewa kuiweka jamani hadi jioni hii.
 
Ulikuwa unatafakari kwanza ama umetunga?Tumechoshwa na mengi sana kwenye hii nchi.


mimi sio shigongo anaesema "kulikua na binti mrembo mzuri mwenye shingo ya twiga..lakini wazazi wake walipofariki shingo yake ikawa ya uvugu vugu..sija tunga!
 
Waziri Mkuu mstaafu Cleopa David Msuya, ameipa live serikali ya Jakaya Kikwete kua, kama itashindwa kuyakabili matatizo ya Umeme na ajira kwa vijana basi siku si nyingi Nchii hii itakua kama Libya ama Tunisia

Msuya aliyasema hayo leo asubuhi wakati wa mjadala wa kitaifa uliondaliwa na taasisi ya sekta binafsi Tanzania.

"Its a shame for a 50 years old country kukosa umeme.. kama serikali itashindwa kutimiza matakwa yake basi siku si nyingi Tanzania itakua kama Tunisia."

Msuya aliyasema hayo huku akishuhudiwa na William Ngeleja, Mary Nagu, Friedrick Sumaye, zitto kabwe na baadhi ya wanaharakati na wadau kadhaa wa taasisi hiyo.

"only 14% enjoys the umeme, the rest wote wako vijijini..ni aibu kwa serikali..as a country we are sorounded by 8 countries, tunazitendea haki kweli? are serving them properly? the government must take advantage of everything and generate economic returns to its people" alimalizia Msuya na kushangiliwa kupita kiasi.


Source: Mimi mwenyewe!


MBONA HUYU MZEE HAJAELEZA KITU GANI KIFANYIKE. ANATAKIWA AELEZE yeye angekuwa raisi kipindi hiki angefanya nini.Huyu si miongoni wa wale wanaopata pensheni kubwa kuliko. Hana jipya.
 
Waziri Mkuu mstaafu Cleopa David Msuya, ameipa live serikali ya Jakaya Kikwete kua, kama itashindwa kuyakabili matatizo ya Umeme na ajira kwa vijana basi siku si nyingi Nchii hii itakua kama Libya ama Tunisia

Msuya aliyasema hayo leo asubuhi wakati wa mjadala wa kitaifa uliondaliwa na taasisi ya sekta binafsi Tanzania.

"Its a shame for a 50 years old country kukosa umeme.. kama serikali itashindwa kutimiza matakwa yake basi siku si nyingi Tanzania itakua kama Tunisia."

Msuya aliyasema hayo huku akishuhudiwa na William Ngeleja, Mary Nagu, Friedrick Sumaye, zitto kabwe na baadhi ya wanaharakati na wadau kadhaa wa taasisi hiyo.

"only 14% enjoys the umeme, the rest wote wako vijijini..ni aibu kwa serikali..as a country we are sorounded by 8 countries, tunazitendea haki kweli? are serving them properly? the government must take advantage of everything and generate economic returns to its people" alimalizia Msuya na kushangiliwa kupita kiasi.


Source: Mimi mwenyewe!

A very constructive criticism. It is infact a challenge
 
Kwa kweli msuya amekosea sana kutoa hiyo kauli kwa sababu kwa yeye kuwa waziri mkuu katika moja ya tawala za nchi hii ni wazi kwamba hawezi kutenganishwa na matatizo lukuki yanoikumba nchi yetu tangu mwaka 1961.

Alipaswa yeye binafsi akiri makosa yake aliyotenda wakati akiwa mtawala then atuombe radhi, baada ya hapo ndio akituhumu na chama chake na serikali ya JK. Vingenevyo atakuwa amekengeuka.
 
Waziri Mkuu mstaafu Cleopa David Msuya, ameipa live serikali ya Jakaya Kikwete kua, kama itashindwa kuyakabili matatizo ya Umeme na ajira kwa vijana basi siku si nyingi Nchii hii itakua kama Libya ama Tunisia

Msuya aliyasema hayo leo asubuhi wakati wa mjadala wa kitaifa uliondaliwa na taasisi ya sekta binafsi Tanzania.

"Its a shame for a 50 years old country kukosa umeme.. kama serikali itashindwa kutimiza matakwa yake basi siku si nyingi Tanzania itakua kama Tunisia."

Msuya aliyasema hayo huku akishuhudiwa na William Ngeleja, Mary Nagu, Friedrick Sumaye, zitto kabwe na baadhi ya wanaharakati na wadau kadhaa wa taasisi hiyo.

"only 14% enjoys the umeme, the rest wote wako vijijini..ni aibu kwa serikali..as a country we are sorounded by 8 countries, tunazitendea haki kweli? are serving them properly? the government must take advantage of everything and generate economic returns to its people" alimalizia Msuya na kushangiliwa kupita kiasi.


Source: Mimi mwenyewe!

Huyu mzee anadhani tumesahau mambo yalipokuwa magumu akiwa waziri mkuu miaka ya '80 aliwaambia watanzania kila mtu atabeba mzigo wake?
 
Waziri Mkuu mstaafu Cleopa David Msuya, ameipa live serikali ya Jakaya Kikwete kua, kama itashindwa kuyakabili matatizo ya Umeme na ajira kwa vijana basi siku si nyingi Nchii hii itakua kama Libya ama Tunisia

Msuya aliyasema hayo leo asubuhi wakati wa mjadala wa kitaifa uliondaliwa na taasisi ya sekta binafsi Tanzania.

"Its a shame for a 50 years old country kukosa umeme.. kama serikali itashindwa kutimiza matakwa yake basi siku si nyingi Tanzania itakua kama Tunisia."

Msuya aliyasema hayo huku akishuhudiwa na William Ngeleja, Mary Nagu, Friedrick Sumaye, zitto kabwe na baadhi ya wanaharakati na wadau kadhaa wa taasisi hiyo.

"only 14% enjoys the umeme, the rest wote wako vijijini..ni aibu kwa serikali..as a country we are sorounded by 8 countries, tunazitendea haki kweli? are serving them properly? the government must take advantage of everything and generate economic returns to its people" alimalizia Msuya na kushangiliwa kupita kiasi.


Source: Mimi mwenyewe!

Huyu babu amesoma alama za nyakati...naye alikuwa waziri mkuu japo sina kumbukumbu za maamuzi yake...is a time now to think of making CHANGES...
 
ccm will never perish
msuya amezeeka hana upeo
unajua huko kwenu kisiwani kama jina lako lilivyo hamtegemei kupata umeme. lakini all in all gesi inatoka lindi inasafirishwa mpaka dar kwa mabomba ndio ifue umeme.Wakati huo mikoa jirani na lindi pamoja na lindi yenyewe hawana umeme! ni akili au matope hayo.Ni gharama kiasi gani zimetumika kujenga bomba na tungeokoa kiasi gani kama gesi hiyo ingezalishia umeme huko huko lindi. siku nyingine usifikiri kwa kutumia masaburi peleka fikra kichwani kwanza. SHAME ON YOU.MUHESHIMU SANA HUYU MZEE AU HUKUONA VASCO DA GAMA AKIMUITA AWAPELEKE KITCHENPARTY MAWAZIRI WAKE!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom