Msuto wa Snowhite na FP

Kongosho

JF-Expert Member
Mar 21, 2011
35,999
24,162
Kutokana na hasira nilizonazo, naomba Zinduna uandae msuto wa snowhite na FP pale Wantashi-Masaki
Dress code: Smart Casual
Vinywaji: Red Wine, White and Green Wine, Whisky, no biere
Music: Carrebean Regae, Argentinian Tango, RHumba, bluzi
DJ: Bishanga
Kisa: Kumpigia Debe Zombie wa Konnie baada ya konnie kuamua kuwa celibate kwa miaka 5

Source Mimi Mwenyewe niliyeumizwa na mameno yao kwenye us=zi wangu wa Cleibacy kule MMU.

Nawakilisha. . ..
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na hasira nilizonazo, naomba Zinduna uandae msuto wa snowhite na FP pale Wantashi-Masaki
Dress code: Smart Casual
Vinywaji: Red Wine, White and Green Wine, Whisky, no biere
Music: Carrebean Regae, Argentinian Tango, RHumba, bluzi
DJ: Bishanga
Kisa: Kumpigia Debe Zombie wa Konnie baada ya konnie kuamua kuwa celibate kwa miaka 5

Source Mimi Mwenyewe niliyeumizwa na mameno yao kwenye us=zi wangu wa Cleibacy kule MMU.

Nawakilisha. . ..

u celibacy ni pamoja na kutowasuta wenzio.
halafu we unanzarau,mzee wa citibank unasema mi dijei? arrroooo ntake razi kabla sijakukata kiharage chako,ujue ex wangu Mamndenyi ni ngariba.
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na hasira nilizonazo, naomba Zinduna uandae msuto wa snowhite na FP pale Wantashi-Masaki
Dress code: Smart Casual
Vinywaji: Red Wine, White and Green Wine, Whisky, no biere
Music: Carrebean Regae, Argentinian Tango, RHumba, bluzi
DJ: Bishanga
Kisa: Kumpigia Debe Zombie wa Konnie baada ya konnie kuamua kuwa celibate kwa miaka 5

Source Mimi Mwenyewe niliyeumizwa na mameno yao kwenye us=zi wangu wa Cleibacy kule MMU.

Nawakilisha. . ..
uskute unatuita tuanze pre wedding preparations!
dada mkubwa ukuje na pendekezo la rangi kabisa! gfsonwin wee upitie pale glambox ukiwa na cacico mje na profile yao ili tuchague kabisa mwali wetu atakuwaje! Ciello we utapitia kwenye maweb uangalie nyie mamaids mtavaa nguo gani watu8 kazi ya suti kwa wapambe wa zombie inakuhusu sana mwaJ na BADILI TABIA mfuatilie ukumbi wa bridal shower sawa? King'asti we eneo lako unalijua mwali,bi harusi atafutiwe nywele nzuuri kwa ajili yake@
zinduna we kazi yako kuagiza kungwi toka ngazija na mwingine komoro
jamani nyie niliowataja mhakikishe mkija hapo masaki kwenye huo msuto anaoandaa Zinduna mje na ripoti kamili ya majukumu yenu!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, umempatia kweli mamndenyi kwa kazi ya ungariba, tena anakata kwa kucha la dole gumba lake
Limekomaa kama nini


Najua wewe ni Mzee wa Citibank ndio maana niweka hafla hii Masaki kwa wajanja

Angekuwa Asprin ningeweka Tandale

u celibacy ni pamoja na kutowasuta wenzio.
halafu we unanzarau,mzee wa citibank unasema mi dijei? arrroooo ntake razi kabla sijakukata kiharage chako,ujue ex wangu Mamndenyi ni ngariba.
 
Last edited by a moderator:
ATTENTION!!!!!!!!!! Kongosho is :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:.....................hajui achague lipi kati a celibacy, zombie, msuto na maandilizi ya harusi.
PLEASE ASSIST HER ON THIS...........
 
Last edited by a moderator:
Nitahakikisha siku ya msuto lazima unyolewe vyu.z kwa jivu wewe

Ndo saizi yako, umezidi umbea wa Zombie

uskute unatuita tuanze pre wedding preparations!
dada mkubwa ukuje na pendekezo la rangi kabisa! gfsonwin wee upitie pale glambox ukiwa na cacico mje na profile yao ili tuchague kabisa mwali wetu atakuwaje! Ciello we utapitia kwenye maweb uangalie nyie mamaids mtavaa nguo gani watu8 kazi ya suti kwa wapambe wa zombie inakuhusu sana mwaJ na BADILI TABIA mfuatilie ukumbi wa bridal shower sawa? King'asti we eneo lako unalijua mwali,bi harusi atafutiwe nywele nzuuri kwa ajili yake@
zinduna we kazi yako kuagiza kungwi toka ngazija na mwingine komoro
jamani nyie niliowataja mhakikishe mkija hapo masaki kwenye huo msuto anaoandaa Zinduna mje na ripoti kamili ya majukumu yenu!
 
Ha ha ha ha, umempatia kweli mamndenyi kwa kazi ya ungariba, tena anakata kwa kucha la dole gumba lake
Limekomaa kama nini


Najua wewe ni Mzee wa Citibank ndio maana niweka hafla hii Masaki kwa wajanja

Angekuwa Asprin ningeweka Tandale

kumbe baada ya kufukuzwa kazi ya uwochimen benki Asprin amehamia tandale?
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha, umempatia kweli mamndenyi kwa kazi ya ungariba, tena anakata kwa kucha la dole gumba lake
limekomaa kama nini


najua wewe ni mzee wa citibank ndio maana niweka hafla hii masaki kwa wajanja

angekuwa asprin ningeweka tandale

hhahah! Sasa Kongosho kwani wewe si ulikatwa enzi zile??
Hivi kwani huwaga inakatwa mara mbili??
 
Last edited by a moderator:
He he he, nilikuwa na buzi la kikaburu

Enzi hizo unakunywa Rubisi mie nakunywa Milkshake na wine cocktails tu

we ulifeli la nne mwaka 1967,hicho kidhungu ulijifunzia wapi? au enzi zileeeeeeeeeee za magoti?
 
Hata wewe umo kwenye msuto

Naoja ushahamia timu ya snowhite
Ntakuvuta hizo nywele hadi basi
ATTENTION!!!!!!!!!! Kongosho is :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:.....................hajui achague lipi kati a celibacy, zombie, msuto na maandilizi ya harusi.
PLEASE ASSIST HER ON THIS...........
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom