sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
heri hao wazungu watupuuze huenda tutakuwa salama.(HAYATI MWL J K NYERERE)
huyu mzee alikuwa anaona mbali sana. sasa ndo napata tafsiri ya maneno yake. kulikoni ndg zangu safari haziwaishi hao mabeberu wanyonyaji kukimbili NCHINI mwetu....? BUSHI alituletea vyandarua sasa OBAMA ndo analeta shuka.........? jamani mwenye kufahamu faida mbali na hasara ya kuja hao watu atuondoe wasiwasi (wengine hadi leo kigamboni tupotupo tu)
huyu mzee alikuwa anaona mbali sana. sasa ndo napata tafsiri ya maneno yake. kulikoni ndg zangu safari haziwaishi hao mabeberu wanyonyaji kukimbili NCHINI mwetu....? BUSHI alituletea vyandarua sasa OBAMA ndo analeta shuka.........? jamani mwenye kufahamu faida mbali na hasara ya kuja hao watu atuondoe wasiwasi (wengine hadi leo kigamboni tupotupo tu)