Msumbiji watapeliwa na benki ya Ki Swiss.

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,171
Kama ilivyo hapa kwetu kwa "mikataba ya siri", Msumbiji nayo imeingia skandali ya mkopo wa dola bilioni 2, na kati ya hizo dola milioni 500 zimeliwa na wajanja, huku Msumbiji ikitakiwa kulipa deni hilo.

Nimelileta sakata hili hapa kwetu mtandaoni baada ya kuona kushabihiana kwa hii "mikataba ya siri" katika nchi za kiafrika.

Sakata la msumbiji lilianza baada ya mzungu mmoja mwenye uhusiano na Lebanon kuchonga mkopo toka Swiss Bank na yeye mwenyewe kufaidika kwa kusupply boti za uvuvi ambazo hadi leo hazifanyi kazi.
Thamani ya boti hizo ni dola milioni 500.
Source:
Mozambique: Debt Crisis & the Panama Papers
 
Kama ilivyo hapa kwetu kwa "mikataba ya siri", Msumbiji nayo imeingia skandali ya mkopo wa dola bilioni 2, na kati ya hizo dola milioni 500 zimeliwa na wajanja, huku Msumbiji ikitakiwa kulipa deni hilo.

Nimelileta sakata hili hapa kwetu mtandaoni baada ya kuona kushabihiana kwa hii "mikataba ya siri" katika nchi za kiafrika.

Sakata la msumbiji lilianza baada ya mzungu mmoja kuchonga mkopo toka Lebanon kuchonga mkopo toka Swiss Bank na yeye mwenyewe kufaidika kwa kusupply boti za uvuvi ambazo hadi leo hazifanyi kazi.
Thamani ya boti hizo ni dola milioni 500.
Source:
Mozambique: Debt Crisis & the Panama Papers
Siku hizi uvccm mmeanza kuwa na akili, mnachukia ufisadi waziwazi
 
Kama ilivyo hapa kwetu kwa "mikataba ya siri", Msumbiji nayo imeingia skandali ya mkopo wa dola bilioni 2, na kati ya hizo dola milioni 500 zimeliwa na wajanja, huku Msumbiji ikitakiwa kulipa deni hilo.

Nimelileta sakata hili hapa kwetu mtandaoni baada ya kuona kushabihiana kwa hii "mikataba ya siri" katika nchi za kiafrika.

Sakata la msumbiji lilianza baada ya mzungu mmoja mwenye uhusiano na Lebanon kuchonga mkopo toka Swiss Bank na yeye mwenyewe kufaidika kwa kusupply boti za uvuvi ambazo hadi leo hazifanyi kazi.
Thamani ya boti hizo ni dola milioni 500.
Source:
Mozambique: Debt Crisis & the Panama Papers
Umenikumbusha kile kifaru chetu cha jeshi aka MV Dar es salaam.... yaani tuliuziwa kwa mabilioni kisha hakikufanya kazi mzungu akalala mbele na mkulu kwakua linamhusu akakigeuza kifaru cha jeshi....

Ipo siku kifaru hiki kitapokwa nayeye atakijibia.....

Ipo siku hii mikopo mikubwa mikubwa anayokopa Magufuli kisiri siri atalipia..
.

Mikataba ya ndege mbovu imefanywa ya siri ila ipo siku itakuja hadharani kama ya Msumbiji...

Wakati ni mwaminifu.
 
Back
Top Bottom