jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Aliyeturoga watu weusi cjui alikaaa sehemu gani, hasa waafrika!!?
Rais wa Msumbiji na Serikali yake hawataki SADC iwaasaidie kupambana na ISIS wa Msumbiji kundi la kigaidi
Sababu:
Waanadai hawataki kuingiliwa uhuru wao
LAKINI HAPO HAPO
-Ameruhusu nchi za Magharibi ziisaidie nchi hiyo kijeshi
Yaan hataki waafrika wenzie wamsaidie au waingilie kat ila yuko radhi uhuru wake uingiliwe na France,USA, or UK
Hadi sasa mauaji ya kikatili yamekua yakiongezeka siku hadi siku na Serikal imekuwa ikishindwa kulishinda kundi hilo.
WAAFRIKA NANI KATUROGA?
Rais wa Msumbiji na Serikali yake hawataki SADC iwaasaidie kupambana na ISIS wa Msumbiji kundi la kigaidi
Sababu:
Waanadai hawataki kuingiliwa uhuru wao
LAKINI HAPO HAPO
-Ameruhusu nchi za Magharibi ziisaidie nchi hiyo kijeshi
Yaan hataki waafrika wenzie wamsaidie au waingilie kat ila yuko radhi uhuru wake uingiliwe na France,USA, or UK
Hadi sasa mauaji ya kikatili yamekua yakiongezeka siku hadi siku na Serikal imekuwa ikishindwa kulishinda kundi hilo.
WAAFRIKA NANI KATUROGA?