DOKEZO Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea ugumu wa maisha kwa wananchi.

Msukuma anadaiwa kuendesha makundi makubwa ya wavuvi haramu na kuwahakikishia kuwa hawatakamatwa kwa kuwahadaa kuwa Rais Samia amekataza wananchi wasikamatwe waachwe wavue wanavyotaka kama sehemu yake ya kufungua nchi na kukuza biashara.

Msukuma anatuhumiwa kutumia jina la Rais vibaya kwa kushirikiana na Waziri Mashimba Ndaki ambaye jana Rais Samia ametangaza kukosa imani nae kutokana na usimamizi mbovu wa wizara yake.

Mashimba naye mara kadhaa amekuwa akilalamikiwa kuhusiana na kushamiri kwa uvuvi haramu Ziwa Victoria na hadi Gazeti la Raia Mwema liliwahi kuripoti juu ya Hatari ya kwisha kabisa kwa samaki katika Ziwa Victoria lakini Waziri huyo anadaiwa kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote kwa kuwa Rais amekataa wananchi wasionewe.

Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Ditopile akichangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2022/2023 Bungeni alieleza bayana hali ni mbaya ya kukosekana kwa samaki Ziwa Victoria na kutishia viwanda kufungwa lakini Waziri hakusikiliza ushauri huo na kuendelea kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote.


 
CCM ni uchawi, udokozi, fitina, majungu na choyo. CCM ni mithili ya fisi anaevizia mkono uanguke aule. Hapo ukute umetumwa na mtu anaeamini akitolewa huyo Ndaki ataukwaa uwaziri.

Ni aibu na fedheha kuwa na jamii hii ya watu. Hovyo sana.
 
CCM ni uchawi, udokozi, fitina, majungu na choyo. CCM ni mithili ya fisi anaevizia mkono uanguke aule. Hapo ukute umetumwa na mtu anaeamini akitolewa huyo Ndaki ataukwaa uwaziri.

Ni aibu na fedheha kuwa na jamii hii ya watu. Hovyo sana.
😆😆Kumbe na wewe Umenotice kitu hapa mkuu ndio maana hii nchi hatupigi hatua,chuki,umbea,kumsemea mtu vibaya ndio tunaongoza Sisi.

Mashimba ni muadilifu na mchapa kazi acheni hayo mambo yenu hayo

Huyu atakua katumwa aje achafue watu,yaani waziri mwenye dhamana afadhili ujinga huo.

Yaani Rais inabidi awe makini sana na watu aina hii,la sivyo atakua analishwa matango pori,na Rais asipokaa vizuri atazungukwa na watu waovu wote.
 
Kumbe na wewe Umenotice kitu hapa mkuu ndio maana hii nchi hatupigi hatua,chuki,umbea,kumsemea mtu vibaya ndio tunaongoza Sisi.

Huyu atakua katumwa aje achafue watu,yaani waziri mwenye dhamana afadhili ujinga.

Yaani Rais inabidi awe makini sana na watu aina hii,la sivyo atakua analishwa matango pori,Rais asipokaa vizuri atazungukwa na watu waovu wote.
Duuuh acha nicheke muda wote kuzungumzia watu
 
Wanafadhili vip?Ukiambiwa ulete ushahidi utakuwa nao?au ni chuki tu unazo kwa hawa watu,msukuma na mashimba ni moja ya watu waadilifu nchi hii,acha kuwapaka matope

Nchi hii watu wema ndio wanaopakaziwa mambo ya kuzusha,ndio maana tunakwama.
Musukuma ni mwadilifu! Labda kama uadilifu una maana tofauti.

Bila shaka kuvamia leseni za madini na kuendesha uchimbaji dhahabu bila leseni ni kipimo cha uadilifu.
 
Musukuma ni mwadilifu!!! Labda kama uadilifu una maana tofauti.

Bila shaka kuvamia leseni za madini na kuendesha uchimbaji dhahabu bila leseni ni kipimo cha uadilifu.
Ina maana kama ni kweli anaendesha migodi bila leseni,wewe ndio wa kwanza umeona hayo maovu yake yote anayofanya, wakati nchi ina usalama hii hao wote hawajaona?

waziri wa madini yupo hajaona wewe ndio umeona?kuna taasisi ya madini wao hawajaona hayo ya msukuma?au humpendi tu jamaa wa watu 😆😆
 
CCM acheni siasa za ufitini Mashimba ni mtu safi Sana

Lkn Msukuma ana roho ngumu Sana huyu jamaa. Hata utajiri wake aliuoata njia haramu. Akibisha anyooshe kidole hapa nifunguke.
 
Mtamkubuka tu Jiwe. Enzi zake hadi samaki waliopikwa kwenye Canteen ya Bunge walikuwa wanapimwa kwa rula kuthibitisha uhalali wake wa kuvuliwa. Samaki walikuwa wameongezeka kweli kipindi chake. Sisi tunaoishi kando ya Ziwa Viktoria ni mashahidi. Leo wameanza kulialia!
 
Mashimba na msukuma wamemaliza samaki wa ziwa Victoria!!! Hao ni wawili yaani wangekuwa kumi wangemaliza samaki wa bahari ya Hindi!!!! Siasa ngumu sana
Huku tena amekubwa na Kashfa ya Bilioni 8.8 ya hereni aliyostukia Majaliwa
 
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea ugumu wa maisha kwa wananchi.

Msukuma anadaiwa kuendesha makundi makubwa ya wavuvi haramu na kuwahakikishia kuwa hawatakamatwa kwa kuwahadaa kuwa Rais Samia amekataza wananchi wasikamatwe waachwe wavue wanavyotaka kama sehemu yake ya kufungua nchi na kukuza biashara.

Msukuma anatuhumiwa kutumia jina la Rais vibaya kwa kushirikiana na Waziri Mashimba Ndaki ambaye jana Rais Samia ametangaza kukosa imani nae kutokana na usimamizi mbovu wa wizara yake.

Mashimba naye mara kadhaa amekuwa akilalamikiwa kuhusiana na kushamiri kwa uvuvi haramu Ziwa Victoria na hadi Gazeti la Raia Mwema liliwahi kuripoti juu ya Hatari ya kwisha kabisa kwa samaki katika Ziwa Victoria lakini Waziri huyo anadaiwa kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote kwa kuwa Rais amekataa wananchi wasionewe.

Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Ditopile akichangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2022/2023 Bungeni alieleza bayana hali ni mbaya ya kukosekana kwa samaki Ziwa Victoria na kutishia viwanda kufungwa lakini Waziri hakusikiliza ushauri huo na kuendelea kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote.

View attachment 2319224
Leo Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo Mifugo na Maji imethibitisha samaki wameisha Ziwa Victoria kwa sababu ya usimamizi hafifu wa Waziri Mashimba Ndaki

1675180651701.jpeg
 
Kuna taarifa zinaenea sana mitandaoni zikimhusisha Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Musukuma na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki kufadhili vitendo vya uvuvi haramu ili waweze kutajirika kupitia uvuvi haramu na kusababisha kuadimika kwa samaki na dagaa Ziwa Victoria na kuchochea ugumu wa maisha kwa wananchi.

Msukuma anadaiwa kuendesha makundi makubwa ya wavuvi haramu na kuwahakikishia kuwa hawatakamatwa kwa kuwahadaa kuwa Rais Samia amekataza wananchi wasikamatwe waachwe wavue wanavyotaka kama sehemu yake ya kufungua nchi na kukuza biashara.

Msukuma anatuhumiwa kutumia jina la Rais vibaya kwa kushirikiana na Waziri Mashimba Ndaki ambaye jana Rais Samia ametangaza kukosa imani nae kutokana na usimamizi mbovu wa wizara yake.

Mashimba naye mara kadhaa amekuwa akilalamikiwa kuhusiana na kushamiri kwa uvuvi haramu Ziwa Victoria na hadi Gazeti la Raia Mwema liliwahi kuripoti juu ya Hatari ya kwisha kabisa kwa samaki katika Ziwa Victoria lakini Waziri huyo anadaiwa kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote kwa kuwa Rais amekataa wananchi wasionewe.

Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Ditopile akichangia bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2022/2023 Bungeni alieleza bayana hali ni mbaya ya kukosekana kwa samaki Ziwa Victoria na kutishia viwanda kufungwa lakini Waziri hakusikiliza ushauri huo na kuendelea kuwaagiza maafisa wake wasimkamate mtu yoyote.

View attachment 2319224
Mashimba amefeli kusimamia wizara ya mifugo hamsaidii mama kweli miaka hiyo ya 2020 tulikuwa tunaona ndege zinapeleka minofu ya samaki ulaya kwa sababu samaki walikuwa wa kutosha yeye akaondoa usimamizi matokeo yake jana Kamati ya Bunge inasema samaki wameisha kwa uvuvi haramu
 
Back
Top Bottom