Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Mkuu sio yeye bali "mjani..." wawezaje muamini mtu aliyekuwa akimuabudu EL na mwisho wa siku akamtusi kana kwamba si yeye aliyetolewa shamba, akakogeshwa, akavishwa, akapakwa mafuta, akatolewa tongotongo... akaishia kumtusi EL baada ya kuona wa kabila yake yuko mezani...Yaani jamaa ni mjinga sana, hajui hata kiapo alichokula ni kiapo cha nini? Kwanza kumjadili au kumlaumu mtu kama huyo ni ukosefu wa akili na upumbavu, nakiri na mimi nimefanya upumbavu.