Msukuma awajibu January na Nape asema kumkosoa hayati Magufuli ni nongwa kwa sababu wabunge wamekula viapo vya utii

Yaani jamaa ni mjinga sana, hajui hata kiapo alichokula ni kiapo cha nini? Kwanza kumjadili au kumlaumu mtu kama huyo ni ukosefu wa akili na upumbavu, nakiri na mimi nimefanya upumbavu.
Mkuu sio yeye bali "mjani..." wawezaje muamini mtu aliyekuwa akimuabudu EL na mwisho wa siku akamtusi kana kwamba si yeye aliyetolewa shamba, akakogeshwa, akavishwa, akapakwa mafuta, akatolewa tongotongo... akaishia kumtusi EL baada ya kuona wa kabila yake yuko mezani...
 
rais aliyepo alikuwa makamu wa mwendazake.

kama walimtii mwendazake,walimtii na watamtii na huyu pia.dharau kwa mwenda zake ni dharau kwa aliyepo pia,ila kwa namna ambayo mjinga hawezi elewa.
Swali ni rahisi tu mkuu, huo utii unaelekezwa kwa rais aliyeko madarakani au kwa mwendazake? Jitulize, vuta pumzi, hata ukiweza kunywa maji, alafu utoe jibu!
 
Huyu mchongaji yuko vizuri
JamiiForums-1799191380.jpg
 
Hakuna kiapo cha utiifu kwa Rais wqnachokula Wabunge. Kiapo cha aina hiyo kilifutwa 1995, enzi za intervention ya Lamwai, Marando, Pius Msekwa na Cleopa David Msuya, Karimjee, Dar es Salaam.
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.

Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.

Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.

Ramadhan Kareem!
basi hajielewi.
 
Nyie ndo huwa mkiingia anga za watu mnakula za kutosha, kumtii Mungu ni kwny bible ila kwny katiba ipo kumtii mkuu wako. Kama unajua kwmb hakuna mkubwa zaid ya Mungu bs achana na kaz zinazokulazimisha kula kiapo.
Umenena vizuri mkuu
 
Upuuzi. Unaijua elimu yangu. Endelea kukesha mitandaoni na kutabiri yasiyojiri mpaka uzeeke huna chochote.
Mimi sibishani na nyie wa darasa la nne!!! Nawaona kama majambazi tu mnaotumiwa kama condom!!
 
Mimi sio wa darasa la nne, mie ni matawi ya juu huku niliko nakula bata tu; wewe na wenzio hamuwezi kufika huku mpaka mfe!! Nendeni kwenye nyungu zenu na kunywa dawa ya BUBIJI aliyowaachia boss wenu!
Mavi ya kunguni mtu aliyeenda shule ataandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watandia matukio na waluoshindwa kufikia malengo. Mmebaki kubweka tu.
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Msukuma amesema kuna wabunge wanadai kumkosoa hayati Magufuli siyo nongwa lakini sisi tunasema ni nongwa kwa sababu wabunge tumekula kiapo cha utii.

Msukuma alikuwa anampa taarifa mbunge wa makambako mh Jah people aliyesema wabunge wameingia bungeni kwa nguvu ya hayati Magufuli na wasaidizi wake mama Samia na mh Majaliwa Jah people amesisitiza waliokosa teuzi wawe wavumilivu kwani wabunge ni wengi vyeo ni vichache.

Hayo ni majibu murua kwa wabunge waliopitishwa bila kupingwa January Makamba na Nape Nnauye.

Ramadhan Kareem!
It is a pity mnaendekeza hizi takataka za darasa la saba! These are rejects kwa watu wanaojielewa. Hawapashwi kuwa kwenye jumba kama lile,.... these re rubbishes
 
Mavi ya kunguni mtu aliyeenda shule ataandika upuuzi huu. Nyie ndiyo watandia matukio na waluoshindwa kufikia malengo. Mmebaki kubweka tu.
Nyie mmefikia malengo yenu ya kujenga NYUNGU na kunywa bubiji!! Sasa huu ni utawala wa sheria tuone mtajificha wapi nyie majizi!!
 
Back
Top Bottom