Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,725
- 18,620
Mbunge wa Geita vijijini Joseph Kasheku nae ametaka mgodi wa GGM uchunguzwe kwa mkuwa una madini wengi kuliko Kahama.
Amewashukia wabunge wa CCM waliotajwa kwenye kashfa na mzee mmoja wanayemuheshimu bungeni aliye tweet na kusema yeye hawezi kuhojiwa mpaka apelekwe mahakamani, na kuhoji yeye ni nani?
Amesema Ngeleja , Chenge na Kafumu hawana kinga ya kupelekwa mahakamani na magereza sio kwa ajili ya wakina Babu Seya tu.
Na kuna mtu mmoja anayetajwa kila kashfa inayotokea na kuhoji yeye ni nani?
Amewashukia wabunge wa CCM waliotajwa kwenye kashfa na mzee mmoja wanayemuheshimu bungeni aliye tweet na kusema yeye hawezi kuhojiwa mpaka apelekwe mahakamani, na kuhoji yeye ni nani?
Amesema Ngeleja , Chenge na Kafumu hawana kinga ya kupelekwa mahakamani na magereza sio kwa ajili ya wakina Babu Seya tu.
Na kuna mtu mmoja anayetajwa kila kashfa inayotokea na kuhoji yeye ni nani?