Msukule aliyefufuliwa na manabii wa dunia hii anijuze

Shy land

JF-Expert Member
Jul 28, 2013
6,024
1,959
Kufikiri, hadi leo siamini kabsa kuwa Neno Mungu ni kitu ambacho kipo,
naelewa na kuamini kwamba hakuna kitu au kiumbe chochote kinachoenekana au kisichoenekana kinachoitwa Mungu.

Hili neno lipo tu kwa ajiri la kufalijiana kwa watu walio fika kikomo cha fikra zao na pengine lipo kwaajili ya kuwahadaa na kuwafariji watu walioko kwenye matatizo ya kidunia.

Kanisani naenda kwa lengo la kujumuika na watu tu, pengine kukaa karibu na watu ili jamii isinione wa tofauti sana na tamaduni zao.

Nimekuwa mchawi kwa kipindi kirefu sasa nememiliki misukule 16 wanaonisaidia kazi zangu. Lakini katika uchawi wangu huo hadi sasa hivi sijawahi kupokonywa musukule hata mmoja na watu wanaojiita manabii.

Jambo ambalo limenifanya niaazishe thread hii ni vipidi mbalimbali vya vyombo vya habari. Kuna watu wanajitangaza kuwa wao wanauwezo wakurundisha watu waliokufa nakuwafufua eti wanatumia neno la Mungu!

Kwa kuwa JF ina watumiaji wengi naomba kama kuna mtu amewahi kurudishwa au ndugu yake atueleze bayana bila kificho, maana mimi siamiani kama kuna kitu kama hicho chini ya jua.
 
MkuuTE="ClevmadaNG, post: 19156052, member: 223391"]Shy land ulipotelea wapi Mkuu?[/QUOTE]
Mkuu kwenye mada Tafadhali. Ila mm nipo
 
Shika sana kile ulichonacho [unachamini] maana anasema!

"Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma ; na kabila zote za dunia wataomboleza Kwa ajili Yake .

Ufunuo 1:7

Shika ulicho nacho
 
Ndugu, shy land.

Kwanza pole kwa kua mnafiki, yani unaenda kanisani na bado unamiliki misukule? Alafu pili, swala la kumchunguza Mungu huwezi fanikiwa hata utumie mabilioni ya PESA.

Yeye ni Roho.
 
Nashindwa kuelewa kabisa maana Kanisa ni eneo takatifu na mtu kama wewe huwezi kukanyaga humo ndani. Sasa inakuaje wewe na wengine wengi wenye mapepo wanaweza kuingia eneo takatifu au labda sio eneo takatifu?
 
Kufikiri, hadi leo siamini kabsa kuwa Neno Mungu ni kitu ambacho kipo,
naelewa na kuamini kwamba hakuna kitu au kiumbe chochote kinachoenekana au kisichoenekana kinachoitwa Mungu.

Hili neno lipo tu kwa ajiri la kufalijiana kwa watu walio fika kikomo cha fikra zao na pengine lipo kwaajili ya kuwahadaa na kuwafariji watu walioko kwenye matatizo ya kidunia.

Kanisani naenda kwa lengo la kujumuika na watu tu, pengine kukaa karibu na watu ili jamii isinione wa tofauti sana na tamaduni zao.

Nimekuwa mchawi kwa kipindi kirefu sasa nememiliki misukule 16 wanaonisaidia kazi zangu. Lakini katika uchawi wangu huo hadi sasa hivi sijawahi kupokonywa musukule hata mmoja na watu wanaojiita manabii.

Jambo ambalo limenifanya niaazishe thread hii ni vipidi mbalimbali vya vyombo vya habari. Kuna watu wanajitangaza kuwa wao wanauwezo wakurundisha watu waliokufa nakuwafufua eti wanatumia neno la Mungu!

Kwa kuwa JF ina watumiaji wengi naomba kama kuna mtu amewahi kurudishwa au ndugu yake atueleze bayana bila kificho, maana mimi siamiani kama kuna kitu kama hicho chini ya jua.
Kufikiri, hadi leo siamini kabsa kuwa Neno Mungu ni kitu ambacho kipo,
naelewa na kuamini kwamba hakuna kitu au kiumbe chochote kinachoenekana au kisichoenekana kinachoitwa Mungu.

Hili neno lipo tu kwa ajiri la kufalijiana kwa watu walio fika kikomo cha fikra zao na pengine lipo kwaajili ya kuwahadaa na kuwafariji watu walioko kwenye matatizo ya kidunia.

Kanisani naenda kwa lengo la kujumuika na watu tu, pengine kukaa karibu na watu ili jamii isinione wa tofauti sana na tamaduni zao.

Nimekuwa mchawi kwa kipindi kirefu sasa nememiliki misukule 16 wanaonisaidia kazi zangu. Lakini katika uchawi wangu huo hadi sasa hivi sijawahi kupokonywa musukule hata mmoja na watu wanaojiita manabii.

Jambo ambalo limenifanya niaazishe thread hii ni vipidi mbalimbali vya vyombo vya habari. Kuna watu wanajitangaza kuwa wao wanauwezo wakurundisha watu waliokufa nakuwafufua eti wanatumia neno la Mungu!

Kwa kuwa JF ina watumiaji wengi naomba kama kuna mtu amewahi kurudishwa au ndugu yake atueleze bayana bila kificho, maana mimi siamiani kama kuna kitu kama hicho chini ya jua.
Unajua wewe pimbi unataka umaarufu kupitia mgongo wa MUNGU sasa Subiri Mungu atakupa huo umaarufu unaoutaka ili ujue Kama yupo au hayupo.
Nakuambia Subiri.
 
Nenda utube ukajionee Baba mtaktifu askofu mkuu Gwajima akifufua na kuponya
 
Hiki tunakiita kiburi cha uzima.. Ila Mungu alivyo wa ajabu.. Hawa watu yakiwafika wakiamua mtafuta wala haufichi uso wale..
Na imani Yako imechagizwa na matendo yako ya kichawi.. Sitarajii hata siku moja kukuta wachawi wanafundishana matendo makuu ya Mwenyezi Mungu... Nanyi wote ni watoto wa Baba wa uovu
 
Unajua wewe pimbi unataka umaarufu kupitia mgongo wa MUNGU sasa Subiri Mungu atakupa huo umaarufu unaoutaka ili ujue Kama yupo au hayupo.
Nakuambia Subiri.

Usitumie nguvu nyingi na matusi makalimakali pamoja nakunitia hofu kwa kutumia neno Mungu™
Umarufu unaozugumuzia wewe ambao nautafuta humu JF una faida gani katika maisha yangu.

Sitaki kubishana na wewe kwa sababu akili zako zimefungiwa sehemu fulani.
 
Unajua wewe pimbi unataka umaarufu kupitia mgongo wa MUNGU sasa Subiri Mungu atakupa huo umaarufu unaoutaka ili ujue Kama yupo au hayupo.
Nakuambia Subiri.

Usitumie nguvu nyingi na matusi makalimakali pamoja nakunitia hofu kwa kutumia neno Mungu™
Umarufu unaozugumuzia wewe ambao nautafuta humu JF una faida gani katika maisha yangu.

Sitaki kubishana na wewe kwa sababu akili zako zimefungiwa sehemu fulani.
 
Back
Top Bottom