Uchaguzi 2020 Mstahiki Meya wa Ubungo Boniface Jackob achukua fomu ya kuomba ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa Kishindo

Mwambieni aache siasa za mrengo wa Savimbi.
ni kweli kavaa kisavimbi jonas savimbi huyu hapa picha

1594171524578.png
 
Jamaa anafaa kuwa mbunge, nikijana mwenye akili nyingi na jasiri.

Anakwenda kuwa mwiba mwingine bungeni kwa serikali katika mambo ambayo hayana maslahi kwa wananchi.
 
Huwa nakaa ufukweni na kuwatafakari Chadema.....

Nawatafakari sana vijana wa CDM....hususani wale wenye hulka Kama ya BONIPHACE JACKOB.....

Siku moja mama yangu aliniuliza swali juu ya asili ya MABOKSA,WACHEZA FILAMU ZA MAPIGANO NA MIELEKA...
Akaniuliza "Hawa inawezekana kweli wakawa ni vijana waliolelewa vizuri,kwa amani na utulivu wkt wa utoto wao, kama kuwa walokole ama maustadhi?!!!

Nikamjibu


Hao wengi wao ni kinyume chake....
Hao wengi wao ni wale MANUNDA....
Hao wengi wao ni wale wenye saikolojia ya kupenda SHARI,VURUGU,HASAMA,HAMKANI HALI SI SHWARI....

Wengi wao ni watu wanaofika "orgasm" kuona WANAVUTWAVUTWA KUSUKWASUKWA na VYOMBO vilivyowekwa KISHERIA......

Naendelea kumtafakari mh.Boniface Jackob na Hilo BERETI LAKE JEKUNDU CHINI MIBUTI KM KOMANDOO WA NGERENGERE
Wewe na mama yako wambea
 
Ila CDM hemu jengeni hata ofisi
Halafu ubungo ni too strategy kuchukua upinzani
Hilo Jimbo ni la CCM
 
Huwa nakaa ufukweni na kuwatafakari Chadema.....

Nawatafakari sana vijana wa CDM....hususani wale wenye hulka Kama ya BONIPHACE JACKOB..

Hukumuelewa Mama yako, ni kwamba anatamani Baba yako angekuwa kama hao Jamaa MABOKSA,WACHEZA FILAMU ZA MAPIGANO NA MIELEKA.
Kimsingi Mama yako akikutana na Jacob Boniface lazima atoe Mzigo
 
Back
Top Bottom