Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,939
Tupo hapa riversider.. tunamalozia mikakatiOnyo : Kitila Mkumbo tafakari upya jimbo la kuvamia
Tupo hapa riversider.. tunamalozia mikakatiOnyo : Kitila Mkumbo tafakari upya jimbo la kuvamia
Huyu ni bomu kweli hata IQ yake mbovu lakini kwa vile anafanana na Savimbi watamchaguaOnyo : Kitila Mkumbo tafakari upya jimbo la kuvamia
BA Education tu. Japo Sina uhakika ana GPA ya ngapiUnaijua Elimu ya Bonie ?
Unatimia masaburi kufikiriUmeya haulipi? Ubungo tunataka wasomi
ni kweli kavaa kisavimbi jonas savimbi huyu hapa pichaMwambieni aache siasa za mrengo wa Savimbi.
Akili mbovu siku zote hujadili watu
Hela zake kuleni lakini kura hapatiTupo hapa riversider.. tunamalozia mikakati
Maneno matupu hayavunji mfupa .
View attachment 1500296
View attachment 1500282View attachment 1500285
View attachment 1500288
shule yako haimfikii huyo jamaaUmeya haulipi? Ubungo tunataka wasomi
Wewe na mama yako wambeaHuwa nakaa ufukweni na kuwatafakari Chadema.....
Nawatafakari sana vijana wa CDM....hususani wale wenye hulka Kama ya BONIPHACE JACKOB.....
Siku moja mama yangu aliniuliza swali juu ya asili ya MABOKSA,WACHEZA FILAMU ZA MAPIGANO NA MIELEKA...
Akaniuliza "Hawa inawezekana kweli wakawa ni vijana waliolelewa vizuri,kwa amani na utulivu wkt wa utoto wao, kama kuwa walokole ama maustadhi?!!!
Nikamjibu
Hao wengi wao ni kinyume chake....
Hao wengi wao ni wale MANUNDA....
Hao wengi wao ni wale wenye saikolojia ya kupenda SHARI,VURUGU,HASAMA,HAMKANI HALI SI SHWARI....
Wengi wao ni watu wanaofika "orgasm" kuona WANAVUTWAVUTWA KUSUKWASUKWA na VYOMBO vilivyowekwa KISHERIA......
Naendelea kumtafakari mh.Boniface Jackob na Hilo BERETI LAKE JEKUNDU CHINI MIBUTI KM KOMANDOO WA NGERENGERE
Kwa hiyo kwako wewe Bashite, aliyejaa Dar Nzima,including Ubungo, Zero Brain, ni Msomi kuliko Jacob, mwenye Bachelor Degree of Arts in Education ?BA Education tu. Japo Sina uhakika ana GPA ya ngapi
Jonas Savimbi ana heshimika sana Angola
Huwa nakaa ufukweni na kuwatafakari Chadema.....
Nawatafakari sana vijana wa CDM....hususani wale wenye hulka Kama ya BONIPHACE JACKOB..