yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Inafahamika kwamba MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA IRINGA MZEE WETU AMANI MWAMWINDI ndo bosi wa manispaa ya Iringa...lakin pamoja na kwamba tunampenda sana mzee wetu na tunathamimi mchango wa kimaendeleo kwa mji wetu ambao kumekuwa na maneno eti unaandaliwa kuwa jiji.,lakin ni busara sasa kama 2015 ukikaa kando na kukabidhi kijiti kwa mwenzako kuwa meya..ahadi zimekuwa tamu lakin utekelezaj hatuuoni..kasi imekuwa ndogo sana..miundombinu mibovu,stendi finyu,inatakiwa pia hata manispaa iplan kujenga soko kuu la kisasa lakin pia hata ofisi zake za kisasa..lakin yote kwa yote ukuaji wa mji umekuwa katika kasi ndogo hali inayoonyesha poor organization as well as poor planning..ukitizama manispaa zingine kama Morogoro,Moshi daily zinaonekana kupiga hatua...why you Iringa?