Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,782
Ndo maana wanawatwanga risasi huko kibiti kwa mambo ya kipuuzi kama haya.
Una uhakika hao Askari mmoja wao hakuwa na kadi ya chadema/CUF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana wanawatwanga risasi huko kibiti kwa mambo ya kipuuzi kama haya.
Tunao mpango wa kumfikisha mahakamani kesho asubuhi Mungu akipenda .Kwanza anaitwa MSTAHIKI. Halafu kwa ulevi tuu wa madaraka DC anaamuru akamatwe na kuwekwa ndani masaa 48 kisha anaachiwa bila masharti yeyote wala kauli ya maana kwa nini kamuweka ndani Mstahiki Meya ambaye wananchi wamemchagua wao kwa kumwamini.
Hii iliyotokea Ubungo kwa kuwekwa ndani Meya Jacob ni sawa? Halafu huyo DC anawezaje kumtumia Meya huyo katika shughuli zao za maendeleo? Baraza la madiwani Ubungo lidai maelezo toka kwa DC huyo na kama hana maelezo ya maana wamsusie na kumnyima ushirikiano wa aina yeyote kwa kuidhalilisha Halmashauri ya Ubungo.
Wala siyo mbali .Siku watakayokuja kuchoka hao wapinzani na wanachama wao dhidi ya huo uonevu , ,
NDIO yatakuwa kama yanayotokea nchi za wenzetu
Chadema mnakosa plan B kudeal na hao matahira
sasa nyie ACT WASALITI kamalizaneni na mama yenu kilimanjaroNi kwa sababu ya ufinyu wa mawazo, hii ni kwa Tanzania tu ndo uonevu unaweza kutokea, ukajirudia tena na tena na tena.
Viongozi wetu wa CHADEMA wamekosa vision kabisa. Hapa ndo pengo la Dr Slaa linaonekana wazi. Huu ujinga usingeweza kutokea akakaa kimya that much. Hata yaliyomkuta Lema asingeweza kuyavumilia. Lazima dude lingeamshwa. Lakini waliopo naona tayari wamenyoosha mikono. Inauma sana
kweli mkuu.....lakini ilimradi tu usiingie msituni!Siasa safi sasa imewekwa kwando na watu fulani baada ya wao kushindwa kumudu siasa za ushindani na matokeo yake wameamua kuendesha siasa za hovyo zisizo za kistaarabu na kutafanya wote tuonekana mbele ya walimwengu kama watu ambao hatujastaarabikia na hatupaswi kuishi katika huu ulimwengu wa watu waliostarabikia.
This is total barbarisim!
Mbowe awapishe vijana yeye abaki tu kama mshauri.Swala tumtoe mbowe lisu au hache au waitara au sugu au lema wapewe chama ili nasisi tuingie mtaani heshima iwepo kwa ma ccm naona mbowe kalala sana
Swissme