Mstahiki Meya Unamkamata 48hrs, Kisha Unamuachia Bila Kusema Neno. Ni sawa?

Those are victims of inadequate political education esp on multiparty system
 
Kwanza anaitwa MSTAHIKI. Halafu kwa ulevi tuu wa madaraka DC anaamuru akamatwe na kuwekwa ndani masaa 48 kisha anaachiwa bila masharti yeyote wala kauli ya maana kwa nini kamuweka ndani Mstahiki Meya ambaye wananchi wamemchagua wao kwa kumwamini.

Hii iliyotokea Ubungo kwa kuwekwa ndani Meya Jacob ni sawa? Halafu huyo DC anawezaje kumtumia Meya huyo katika shughuli zao za maendeleo? Baraza la madiwani Ubungo lidai maelezo toka kwa DC huyo na kama hana maelezo ya maana wamsusie na kumnyima ushirikiano wa aina yeyote kwa kuidhalilisha Halmashauri ya Ubungo.
Tunao mpango wa kumfikisha mahakamani kesho asubuhi Mungu akipenda .
 
Chadema mnakosa plan B kudeal na hao matahira
Ni kwa sababu ya ufinyu wa mawazo, hii ni kwa Tanzania tu ndo uonevu unaweza kutokea, ukajirudia tena na tena na tena.

Viongozi wetu wa CHADEMA wamekosa vision kabisa. Hapa ndo pengo la Dr Slaa linaonekana wazi. Huu ujinga usingeweza kutokea akakaa kimya that much. Hata yaliyomkuta Lema asingeweza kuyavumilia. Lazima dude lingeamshwa. Lakini waliopo naona tayari wamenyoosha mikono. Inauma sana
sasa nyie ACT WASALITI kamalizaneni na mama yenu kilimanjaro
 
Serikali ina waandaa wapinzani kubadiri aina ya siasa. Siasa za kipindi cha Jk zifikie mwisho . Pls viongoz badiri mbinu hawa ccm sio wa kucheka nao, wakikukimbiza hatua 10 wapeleke hatua 1000! Nachoka na matamko
 
Sasa kuheshimiana inatakiwa iwe lazima. Nashangaa ni juzi tuu Waziri Simbachawene bungeni law at a had garish a ma RC na ma DC juu ya matumizi ya sheria hii na kuwa wanaweza kujikuta wanabeba msalaba wao wenyewe na sii serikali lakini Huyu kapuuzia.
Inapaswa na serikali nayo iliyomuajiri imshughulikie kwa kutengeneza chuki ya RAIA dhidi yake
 
Siasa safi sasa imewekwa kwando na watu fulani baada ya wao kushindwa kumudu siasa za ushindani na matokeo yake wameamua kuendesha siasa za hovyo zisizo za kistaarabu na kutafanya wote tuonekana mbele ya walimwengu kama watu ambao hatujastaarabikia na hatupaswi kuishi katika huu ulimwengu wa watu waliostarabikia.

Civilization imetushinda kabisa and worse enough hivi sasa mpaka kwenye misiba!!

Matendo yanayoendelea hapa nchini yana-fit kabisa definition ya barbaric acts.

In short,this is total barbarisim!

Uchumi umetushinda na sasa hata political civilization nayo inatushinda!!!
 
Siasa safi sasa imewekwa kwando na watu fulani baada ya wao kushindwa kumudu siasa za ushindani na matokeo yake wameamua kuendesha siasa za hovyo zisizo za kistaarabu na kutafanya wote tuonekana mbele ya walimwengu kama watu ambao hatujastaarabikia na hatupaswi kuishi katika huu ulimwengu wa watu waliostarabikia.

This is total barbarisim!
kweli mkuu.....lakini ilimradi tu usiingie msituni!
 
Swala tumtoe mbowe lisu au hache au waitara au sugu au lema wapewe chama ili nasisi tuingie mtaani heshima iwepo kwa ma ccm naona mbowe kalala sana


Swissme
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom