MZALENDO TANZANIA
Member
- Oct 12, 2016
- 15
- 42
Habari wakuu, kwanza napenda kumpongeza meya mpya wa manispaa ya kinondoni mstahiki mheshimiwa Benjamin Sitta kwa kuweza kuchaguliwa kwa kishindo kua meya mpya wa manispaa ya kinondoni.
Lakini napenda kumpa ombi langu moja kwamba afuatilie wale wote walionufaika au waliopata mikopo iliyotokana na asilimia 10 kutoka katika mapato ya ndani ya halmshauri.
Maana zipo tetesi kwamba vile vikundi vilivyopata mikopo ile vilikua ni hewa na kwamba havikusajiliwa bali vilikua ni magenge ya wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambao walikusanyana na kwenda kupokea mkopo kwa mbwembwe mbele ya macho ya macho ya waandishi wa habari. Meya aliyepita inadaiwa alitumia nafasi yake vibaya akiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya fedha ,mipango na utawala kuwapatia mikopo ile watu wasiohusika.
Tunaomba ujuridhishe kama madai haya yana ukweli ndani yake ili uwatoe hofu wanachi na vijana wanaotegemea kupata mikopo hiyo pindi itakaporejeshwa na hao wakopaji wa awali, kwa sababu hadi sasa hivi benki ya wananchi wa Dar es salaam haijajapata rejesho la aina yeyote kutoka kwa wanufaika wa mikopo ile.
Naomba kuwasilisha.
AUGUSTINO CHIWINGA
0756810804
KADA CHAMA CHA MAPINDUZI DAR ES SALAAM.
Lakini napenda kumpa ombi langu moja kwamba afuatilie wale wote walionufaika au waliopata mikopo iliyotokana na asilimia 10 kutoka katika mapato ya ndani ya halmshauri.
Maana zipo tetesi kwamba vile vikundi vilivyopata mikopo ile vilikua ni hewa na kwamba havikusajiliwa bali vilikua ni magenge ya wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambao walikusanyana na kwenda kupokea mkopo kwa mbwembwe mbele ya macho ya macho ya waandishi wa habari. Meya aliyepita inadaiwa alitumia nafasi yake vibaya akiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya fedha ,mipango na utawala kuwapatia mikopo ile watu wasiohusika.
Tunaomba ujuridhishe kama madai haya yana ukweli ndani yake ili uwatoe hofu wanachi na vijana wanaotegemea kupata mikopo hiyo pindi itakaporejeshwa na hao wakopaji wa awali, kwa sababu hadi sasa hivi benki ya wananchi wa Dar es salaam haijajapata rejesho la aina yeyote kutoka kwa wanufaika wa mikopo ile.
Naomba kuwasilisha.
AUGUSTINO CHIWINGA
0756810804
KADA CHAMA CHA MAPINDUZI DAR ES SALAAM.