johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,542
Rais mstaafu mzee Mkapa amesema marehemu Ibrahim Kaduma alikuwa ni mtu muadilifu, anayetenda haki, mzalendo wa kweli na aliyetoa utumishi uliotukuka na ni imani yake kuwa Mungu atampumzisha mahali pema peponi.
Mzee Mkapa amesema hayo katika ibada ya kumuaga rip Kaduma huko makongo juu jijini Dsm. Kaduma alikuwa waziri katika serikali ya JMT kwa nyakati tofauti wakati wa mwalimu Nyerere.
Misa hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wa serikali na wale wastaafu wakiongozwa na makamu wa Rais mama Samia na waziri mkuu mstaafu mzee Lowassa.
Rip mzee Kaduma
Source ITV habari!
Mzee Mkapa amesema hayo katika ibada ya kumuaga rip Kaduma huko makongo juu jijini Dsm. Kaduma alikuwa waziri katika serikali ya JMT kwa nyakati tofauti wakati wa mwalimu Nyerere.
Misa hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbali mbali wa serikali na wale wastaafu wakiongozwa na makamu wa Rais mama Samia na waziri mkuu mstaafu mzee Lowassa.
Rip mzee Kaduma
Source ITV habari!