Msosi wa rais

mayenga

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
4,118
1,966
Nimetafakari sana wana JF wenzangu kabla ya kuleta mada hii jamvini.

Sote tunakula chakula cha aina tofauti,kwa wakati tofauti.

Pia nina imani kila mmoja wetu wakati mwingine hata kama sio kila mara,anakula chakula chenye kuendana na utamaduni wake. Mfano mchaga humtengi na ndizi mshale, udaga (unga wa mhogo) kwa mkerewe ndo usiseme nk.Na katika ulaji wetu suala zima la manufaa ya chakula uzingatiwa sana.

Kuna vyakula ambavyo lengo ni kunenepesha,vingine ni kupunguza unene, vyenye kuleta kumbukumbu nzuri,na pia vyenye kuzuia magonjwa ya kila aina.

Swali langu au letu na wengine wasiojua kama mimi, Je, rais anakula msosi wa aina gani?

Je, kuna vyakula vinavyomfanya rais asimame muda mrefu jukwani,aongee na asisikie kizungu zungu,au kuna vile vyenye kumfanya asikie kizunguzungu?

Je kuna vyakula vyenye kumfanya rais aote ubongo wa ziada wa kutosahau kila anachokiongea? Je chakula cha rais kinahamasisha asitamani kutoka Ikulu na atamani kujiongezea madaraka?

Nina imani hapa kuna watu ambao waliwahi kukaribishwa ikulu yoyote ile,na kumuona rais anakula.

Nisaidieni tafadhali nautamani msosi wa rais.
 
my dia vyakula ndo vile vile alwaz uwe marekani,china tz etc ni mchele,maharage mahindi mtama,muhogo nyeger etc,tofauti ni mapishi tu na lugha inayotumika kuita hivyo vyakula mfano makande-tz,kenya gidheri etc so raisi anakula kama watu wengie sema tu mapishi hatulingani hasa ukizingatia yy ana ma specio pple wa kuandaa.pia utamu wa msosi unategemea na ulimi/mdogo wa mtu maana wengine hawajui vitam wala vichungu/kisuri au kibaya
 
Mmmh rais mara nyingi hupikiwa chakula akipendacho yeye...kama ni makande basi atapikiwa ila tu kama kuna wageni na ni dhifa ya kitaifa basi vyakula vya aina mbalimbali vya makabila yetu vitaandaliwa ili kila mgeni aone/ale ladha ya vyakula vyetu
 
duh,hii mada imekaa kiuchokozi kweli kweli,so naona unamtafutia Rais tiba!sema tu unatafuta tiba ya Rais,lol
 
Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:

"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.

Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.
 
Na huyu raisi wetu yeye huwa anakula kwa mikono kabisa!
simaanishi hivyoooo....
 
Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:

"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.

Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.

Mkuu Sikonge,

Wakati mwingine ukiandika hivi zingatia mbavu za wengine.nimecheka sana,loh!
 
Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:

"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.

Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.


Nimecheka sana, lakini nilipomaliza nikatafakari kidogo nakuona mkuu SIKONGE ameweka kitu chenye ujumbe mkubwa lakini kwa njia ya kisanii, kumbe wakati mwingine nafasi ulinayo inaweza kukufanya uwe mlafi mwishowe unanenepeana mpaka miguu inashindwa ku-support uzito, kama ilivyokuwa kwa Mh. Rais Benja.
 
Nilikuwa sijacheka tokea Jmosi loooohhh wanakonde na samaki nchanga!

Jamaa mmoja aliwahi kuniambia kuwa niwe muangalifu sana ninapotaka kununua kuku wa kukaanga pale MSATA kwani mara nyingi wale wakwere wanachinja KUNGURU wanawauza kama kuku!
 
Mpare na makande kwa maziwa (pure na mavee)
"Mura" na kemoro (nyama ya porini)
Omera (Mjaluo) na nyoyo gi nyuka (makande yasiyokobolewa na uji)
Arawa na mtori
Mnyiramba na nyama ya punda
 
[QUOTEArawa na mtori
[/QUOTE]

Kibiongo . ARAWA ni nani? Kwetu Arawa ni ndugu / rafiki. Halafu utamkwaji wake sio R . Spelling zake kwa kiswahili utablow .. Mbavu sna kabisaaaaa
 
Kwenye Mazishi ya Michael Jackson, tulikuja kufahamu kutoka kwa Magic Johnson kuwa:

"King of Pop, Michael Jackson aliagiza MPISHI wake amletee KFC, yes Kentucky Fried Chicken". Magic hakuamini maana yeye alikuwa kaagiza vitu vya hali ya juu. Alipoona hivyo, na yeye akasema hebu ondoa hapa hapa huo upupu na weka hapa KFC. Walikaa chini na kuanza kula. Yes, kwenye Zulia na kuanza kula.

Watu wengi huwa wanaJIPANDISHA chat na kuanza kula na kunywa vyakula vya bei mbaya sana. Ila amini usiamini milango ikifungwa:
1. Mhaya anarudia SENENE wake.
2. Mnyamwezi anarudia Nsansa na nswalu yake.
3. Mhehe anarudia Kijibwa chake ahhh, samahani, pombe ya mianzi.
4. Mkoministi anarudia Vodka yake.
5. Muha anarudia UDAGA/Migebe yake.
6. Rama mla watu, mhhhhh no comment.
7. Masanilo anarudia kula ..........
8. Watusi na Waha wanarudia kwenye maziwa ya mgando kutoka kwenye Kibuyu (kisavo).
9. Wasukuma na viazi vitamu kwa maziwa ya mgando.
10. Kuhusu Kikwete, tafuta vyakula vilivyo maarufu pale Msata, ndiyo chakula chake.
Sikonge, hiyo namba 3 na 7 ndizo zimeniacha hoi!
 
my dia vyakula ndo vile vile alwaz uwe marekani,china tz etc ni mchele,maharage mahindi mtama,muhogo nyeger etc,tofauti ni mapishi tu na lugha inayotumika kuita hivyo vyakula mfano makande-tz,kenya gidheri etc so raisi anakula kama watu wengie sema tu mapishi hatulingani hasa ukizingatia yy ana ma specio pple wa kuandaa.pia utamu wa msosi unategemea na ulimi/mdogo wa mtu maana wengine hawajui vitam wala vichungu/kisuri au kibaya

Mhhh wee P unaongelea chakula chakula au chakula aina nyingine?
 
my dia vyakula ndo vile vile alwaz uwe marekani,china tz etc ni mchele,maharage mahindi mtama,muhogo nyeger etc,tofauti ni mapishi tu na lugha inayotumika kuita hivyo vyakula mfano makande-tz,kenya gidheri etc so raisi anakula kama watu wengie sema tu mapishi hatulingani hasa ukizingatia yy ana ma specio pple wa kuandaa.pia utamu wa msosi unategemea na ulimi/mdogo wa mtu maana wengine hawajui vitam wala vichungu/kisuri au kibaya

Mhhh wee P unaongelea chakula chakula au chakula aina nyingine?
 
Back
Top Bottom