of course Ben Saanane, kumbuka kuwa sisi hivi majuzi tumepandisha watu wengi vyeo jeshini kiasi kwamba hekima ilikuwa inatuambia tu kuwa kuna major structuring ya military in case of a military confrontation. Ningetegemea na Malawi nao wafanye hivyo hivyo. La maana sasa ni kuangalia movement ya fedha.
of course Ben Saanane, kumbuka kuwa sisi hivi majuzi tumepandisha watu wengi vyeo jeshini kiasi kwamba hekima ilikuwa inatuambia tu kuwa kuna major structuring ya military in case of a military confrontation. Ningetegemea na Malawi nao wafanye hivyo hivyo. La maana sasa ni kuangalia movement ya fedha.
Hii ni strateggy ya ku-boost morale ya wanajeshi wa Malawi na kuifanyia Tanzania vita ya kisaikolojia.
Inaonekana confidence yao dhidi ya Tanzania iko chini sana