Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Ukiwa msomi ,ingawa bado sijui usomi unaanzia wapi na kuishia wapi,hii nchi ina wasomi gani wa kujivunia kwa waliyolifanyia taifa,maana kumezuka dhana siku hizi watu wenye elimu ya kawaida wakifanya mambo yenye tofauti chanya wanabezwa hawana shule,Nani msomi tanzania na usomi ni nini???