Dk. Kessy (udsm)amesema mfumo unaosababisha wingi wa vyeo katika halmashauri za wilaya, unaongeza gharama na kusababisha matatizo kati ya viongozi na watendaji.
Alitoa mfano wa nafasi hizo kuwa ni Mkuu wa wilaya (DC) na Mwenyekiti wa halmashauri, na kwamba utekelezaji wa majukumu yao ungeweza kufanywa na kiongozi mmoja. Dk. Kessy alisema mfumo usiofuata wingi wa viongozi katika serikali za mitaa, hususani ngazi za wilaya, unatumika kwa nchi kama Uganda na kuleta mafanikio ya kidemokrasi na maendeleo. Source: Ippmedia.
Alitoa mfano wa nafasi hizo kuwa ni Mkuu wa wilaya (DC) na Mwenyekiti wa halmashauri, na kwamba utekelezaji wa majukumu yao ungeweza kufanywa na kiongozi mmoja. Dk. Kessy alisema mfumo usiofuata wingi wa viongozi katika serikali za mitaa, hususani ngazi za wilaya, unatumika kwa nchi kama Uganda na kuleta mafanikio ya kidemokrasi na maendeleo. Source: Ippmedia.