Makau Js
Member
- May 25, 2017
- 93
- 233
Msomi aliyekata tamaa ni msomi mdhaifu aliyebakwa na elimu yake ,msomi asiyejitambua ni msomi aliyevunda ambaye amepaka manukato elimu yake kwenye vyeti vyake ili anukie elimu wakati amevunda na elimu yake-
Ukombozi wa elimu bora unatokana na utashi wa mwanafunzi bora katika kutatua matatizo yake binafsi ,jamii inayomzunguka na kuwa suluhisho la kila tatizo linalomkabili-Unawezaje kuwa unatafuta ajira huku unafanya anasa wakati driving licence hauna na wewe ni kula na kulala?
Unatafuta ajira na hujui hata Excell jinsi ya kuitumia na unadai ajira ngumu? Umesoma Marketing na hujui graphic design ila unamuhudumia mwanamke kiasi cha Zaidi ya Tsh 500,000/- ? kwa nini usiwekeze pesa kwenye proeffsional certificate kwenye taaluma yako ili uteke soko la ajira kwa kuwa na package nzuri uliyonayo ?
Ukombozi wa elimu bora unatokana na utashi wa mwanafunzi bora katika kutatua matatizo yake binafsi ,jamii inayomzunguka na kuwa suluhisho la kila tatizo linalomkabili-Unawezaje kuwa unatafuta ajira huku unafanya anasa wakati driving licence hauna na wewe ni kula na kulala?
Unatafuta ajira na hujui hata Excell jinsi ya kuitumia na unadai ajira ngumu? Umesoma Marketing na hujui graphic design ila unamuhudumia mwanamke kiasi cha Zaidi ya Tsh 500,000/- ? kwa nini usiwekeze pesa kwenye proeffsional certificate kwenye taaluma yako ili uteke soko la ajira kwa kuwa na package nzuri uliyonayo ?