Msiwe mnalala lala ovyo!!!

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
70,942
93,868
attachment.php
 

Attachments

  • 14421.jpg
    14421.jpg
    74 KB · Views: 936
ukicheki gari za abiria za bunju posta, mbezi posta, mbagala feri kwa mida ya asubuhi karibia wote wanakuwa wamelala kisa mafoleni na kudamka mapema
 
Huwa najitahidi sana kutokulala kwenye madala dala, lol!! Avatar ya NKADABWI nayo chiboko!!
 
Last edited by a moderator:
ukicheki gari za abiria za bunju posta, mbezi posta, mbagala feri kwa mida ya asubuhi karibia wote wanakuwa wamelala kisa mafoleni na kudamka mapema

Raia wengi wa Mbezi Mwisho, Bunju, Gongz, Tegeta, Mbagala n.k...majumba yao wameyafanya ni sehemu ya kulala ila technically wao huishi ofisini...
 
Back
Top Bottom