huna uwezo wakumiliki hicho kifaaa utaishia kulalama huku jfHeri angelala wakati tumebaki mi na yeye wawili
ukicheki gari za abiria za bunju posta, mbezi posta, mbagala feri kwa mida ya asubuhi karibia wote wanakuwa wamelala kisa mafoleni na kudamka mapema
Huwa najitahidi sana kutokulala kwenye madala dala, lol!! Avatar ya NKADABWI nayo chiboko!!