Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Jamani kumbe wanawake wana maneno ya kuudhi na shombo kiasi hiki? Ipo hivi leo bro kapishana kauli na msichana fulani, msichana
"Tusileteane ujinga hapa, hivi hunijui eeeh? Yaani unalalamika ujinga ujinga tu hapa". Nikaona kama ni mimi nimeambiwa vile, yaani khaaaa!
Jamani wanawake muda mwingine acheni tu wapigwe, kisa chenyewe kidogo na issue ya kuongea tu ila demu katoa shombo.
Wakubwa zangu nakubaliana na wanaosema wamekorofishana katika mahusiano, kumbe mambo ndio kama haya? Jamani kumbe ndio maana wanaume hufa mapema?
Yaani yule demu Mpalestina ni shida aisee
"Tusileteane ujinga hapa, hivi hunijui eeeh? Yaani unalalamika ujinga ujinga tu hapa". Nikaona kama ni mimi nimeambiwa vile, yaani khaaaa!
Jamani wanawake muda mwingine acheni tu wapigwe, kisa chenyewe kidogo na issue ya kuongea tu ila demu katoa shombo.
Wakubwa zangu nakubaliana na wanaosema wamekorofishana katika mahusiano, kumbe mambo ndio kama haya? Jamani kumbe ndio maana wanaume hufa mapema?
Yaani yule demu Mpalestina ni shida aisee