Msiwahukumu wa mapenzi ya jinsia moja: Papa Francis

Sijashangazwa na kauli ya papa, hizo ndizo rangi halisi za kanisa la Romani Katoliki ambalo chimbuko lake kabla ya kuwa Dini ilikuwa ni Dola ya Rumi(Rome Empire). Kwa wanaoangalia mambo kwa jicho la ndani, wataweza kuona Papa Benedict wa kumi na sita alijiuzuru ndipo akaja huyu, Sio tukio la kawaida na linapotokea watu hatuna budi kujiuliza kunani??
 
Sijashangazwa na kauli ya papa, hizo ndizo rangi halisi za kanisa la Romani Katoliki ambalo chimbuko lake kabla ya kuwa Dini ilikuwa ni Dola ya Rumi(Rome Empire). Kwa wanaoangalia mambo kwa jicho la ndani, wataweza kuona Papa Benedict wa kumi na sita alijiuzuru ndipo akaja huyu, Sio tukio la kawaida na linapotokea watu hatuna budi kujiuliza kunani??

....mawazo tu!, kila mtu ana yake! ndio mana wengine wanasema; "if you think small, you will remain small for life"!
 
Mkuu watu hawawezi kukuelewa maana Imani za dini zinatofautiana.... Ukimwambia usihukumu Mswalisuna unadhani atakuelewa..???? Akati wao wanafundishwa kuua na kujitoa muhanga...????? Mwisho wa siku kilamtu abaki na anachokiamini

....ndio sababu huu mjadala umekuwa mrefu bila sababu,kuna watu wasiohusika wamejiingiza huku!
 
Haya waombe radhi wafiraji na wasagaji.
km ww hauna dhambi yaan mkamilifu. Uwe wa kwanza kuvaa mabomu ukamlipue.
Wanaume tukibadilika dhambi nyingi zitapungua sana.
Ww kunyonya au kunyonywa sehemu za siri sio dhambi?
 
Mbona wao wanatuhukumu? Kama wewe ni mkatoliki unajua kuwa tuna sakrament ya kitubio. Tunaungama, tunahukumiwa na kupewa adhabu, mbona wanatuhukumu? Sawa labda sisi haturuhusiwi kuhukumu, mapadre wanaruhusiwa, basi watoe hukumu maana mashogo wanakwenda kinyume na matakwa ya Mungu kama sisi tunavyohukumiwa kwa kwenda kinyume na matakwa ya Mungu. Au kuna double standards!

PAPA anataka MKUNAJI kama veeeepe atue UWANJA WA FISI
 
yaani inahuzunisha sana kiongoz wa dini kama huyu kuongea maneno kama hayo sijui dunia inaelekea wapi
Pope ni kiongozi wa Dini tena ni Kiongozi wa Dini ya Katoliki lakini Yesu Kristo hakuleta dini.Acha wafu wawazike wafu wao.Mambo ya Mungu siyo opinions bali ni facts ni Amina na Kweli! Kanisa hapa nazungumzia mwili wa Yesu Kristo unapaswa kuihubiri kweli ya Mungu na kuwaelekeza watu kwa Mungu ambaye ni mtakatifu na anatutaka na sisi tuwe watakatifu.Kama ushoga unatufanya tupungukiwe na utukufu kazi ya Kanisa ni kulisemea na kuwaelekeza watu katika kweli sawa sawa na NENO la Mungu na vivyo hivyo kwa dhambi nyingine. Yesu Kristo ha-compromise kwa habari ya dhambi hivyo hatupaswi kama wakristu yaani wafuasi wake ku-compromise katika jambo ambalo ni dhambi.

Kama watumishi wa Mungu tunapaswa kuwa mabalozi wa ufalme wa Mungu kwa kuyasema yale ambayo Mungu anataka tuyafanye hapa duniani na kuishi sawa sawa na mapenzi yake.

Hatupaswi kuwatenga au kumtenga yeyote kwasababu ya dhambi anayofanya bali tunapaswa kwa upole kuwaelekeza ili watambue yawapasayo kufanya.Mwisho wa siku tunapaswa kutambua kwamba mwisho umekaribia na Bwana yu karibu kuja kulichukua Kanisa lake.

Papa ni mwanadamu na ni kiongozi wa Dini yuko entitled kutoa opinion yake lakini mwongozo wetu siyo Papa bali Yesu Kristo kupitia Neno lake.
 
Mh kilichobaki ni kufuata misingi ktk bible tu na si kusikiliza viongozi wa dini wanasemaje

Kaka angalia wasije kukugeuza hawa jamaa hawatabiriki kabisa, bora ukomae na hiyo unayoita misingi, viongozi hawa sio wakiroho niwakishetani kabisa
 
Pope ni kiongozi wa Dini tena ni Kiongozi wa Dini ya Katoliki lakini Yesu Kristo hakuleta dini.Acha wafu wawazike wafu wao.Mambo ya Mungu siyo opinions bali ni facts ni Amina na Kweli! Kanisa hapa nazungumzia mwili wa Yesu Kristo unapaswa kuihubiri kweli ya Mungu na kuwaelekeza watu kwa Mungu ambaye ni mtakatifu na anatutaka na sisi tuwe watakatifu.Kama ushoga unatufanya tupungukiwe na utukufu kazi ya Kanisa ni kulisemea na kuwaelekeza watu katika kweli sawa sawa na NENO la Mungu na vivyo hivyo kwa dhambi nyingine. Yesu Kristo ha-compromise kwa habari ya dhambi hivyo hatupaswi kama wakristu yaani wafuasi wake ku-compromise katika jambo ambalo ni dhambi.

Kama watumishi wa Mungu tunapaswa kuwa mabalozi wa ufalme wa Mungu kwa kuyasema yale ambayo Mungu anataka tuyafanye hapa duniani na kuishi sawa sawa na mapenzi yake.

Hatupaswi kuwatenga au kumtenga yeyote kwasababu ya dhambi anayofanya bali tunapaswa kwa upole kuwaelekeza ili watambue yawapasayo kufanya.Mwisho wa siku tunapaswa kutambua kwamba mwisho umekaribia na Bwana yu karibu kuja kulichukua Kanisa lake.

Papa ni mwanadamu na ni kiongozi wa Dini yuko entitled kutoa opinion yake lakini mwongozo wetu siyo Papa bali Yesu Kristo kupitia Neno lake.

AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNNNNNNNN!!!!!!
 
Binadamu tunapenda sana kuhukumu watu wenye dhambi lkn dhambi zote ni chukizo mbele za MUNGU.
Na watu wafanyao dhambi hawataona ufamle wa Mungu maana hao makazi yao ni jehanamu.
Kujiona ww ni mtakatifu kuliko wengine, uasherati, uzinzi, majivuno, kiburi, kutoa mimba, kujiua, kuua, ushoga, kunyonya sehemu za siri, ubakaji, ulawiti, ulevi, kuhukumu, uongo,kutokusamehe n.k
hawa wafanyao dhambi hiz hawataurusu ufalme wa MUNGU kama hawajatubu na kumrudia Mungu.
Kuna dhambi nying sana ambazo ni chukizo mbele za Mungu.
Kila mtu akimuabudu Mungu ktk roho na kweli hiz dhambi hazitakuwepo.
suala la kuwaomba msamaha mashoga hapa pope alikosea sbb huwez kumuomba mtenda dhambi msamaha.
Kumnyonya mke wangu sehemu zake ni zambi?
 
Mmeambiwa muwaombe radhi wafiraji na wasagaji.
Ni kweli kabisa amesema washirika wa mapenzi wanatakiwa waombwe radhi kwa namna walivyokuwa wakichukuliwa kimtazamo katika siku za nyuma. Pope anajua kanisa kwa namna moja au nyingine lilishiriki kuwanyanyasa hao washiriki, sasa kanisa linatakiwa kuwaomba radhi kwani hawakutakiwa kunyanyaswa kwa kutengwa, bali kupewa mwongozo wa kiroho kama wadhambi wengine.

Tatizo nililogundua humu JF ni kwamba watu huwa wanategemea maneno ya mleta mada bila kutafuta habari ilikotoka ili kujua kitu halisi kilichotokea au kuongelewa. Habari yenyewe nikiisoma sioni tatizo kabisa, hebu angalia hapa chini:

In a groundbreaking statement about homosexuality, Pope Francis says Christians and the Catholic Church should seek forgiveness from gay people and others they have offended or treated poorly in the past.

"I repeat what the Catechism of the Catholic Church says: that they must not be discriminated against, that they must be respected and accompanied pastorally," the pope told reporters Sunday aboard the papal plane returning from Armenia to Rome.
 
kusema kuwa binadamu hana uwezo wa kumhukumu mtu sio kweli kwa wale wakatoliki wanafahamu mtu kama ukiwa hutoi zaka,huendi kanisani wala kushiriki katika vigango licha ya kutofanyiwa ibada yeyote ya maziko hutoruhusiwa kuzikwa ktk eneo husika la katoliki hata kama wewe ni mkatoliki je hio sio hukumu

Ukimpiga mimba mtoto wa watu na kama unacheo hapo katika kanisa si watakufukuza au utaandaliwa mabikra wengine uwapige mimba?? wakikufukuza wamekuhukumu pia, changamkieni hii fursa hao masister msiwaache wapigeni vibendi na hakuna kufukuzana manake huko ni kuhukumiana pia
 
Hapo ndio utajua kuwa Islam ni dini ya Kweli
Hakuna kuiboresha zambi km imekemewa..
Tatizo wakristo wanatumia sana akili zao kuiongoza Biblia wakat tayar wameikuta imekamilika wanataka kuiongezea vitu kulingana na nafsi zao zinavyotaka
Qur'an haibadillishwi na hakuna kuongeza chochote bcz imekamilika na imetoamuongozo wa jins gan binadamu tuish hakuna kulegeza sheria hata km zinatubana

hawatakubali hilo, ngoja waje uone. wanasimama kidete kuupinga uislamu ili WAFIRANE VIZURI
 
Msigano wa kimawazo umeletwa na mtoa uzi, kwa sababu amechukua kipande tu na kukifanya ndio msingi wa hoja.

Kwa nini Pope alitoa maoni ya kanisa kuomba msamaha jamii ya mashoga? Jibu liko wazi ni mkatoliki yule alivamia knight club yao na kuwaua 49 kwa risasi kwa kisingizio ushoga ni chukizo kwa kanisa.

Hapo mkristo mkatoliki amehukumu na kuua na ndicho Pope alikitolea ufafanuzi na akaenda mbali kwamba kuna akinama wajane na watoto nao waombwe radhi kwa nini? Akafafanua kwamba kanisa lilibariki siraha nyingi kutumika vitani na waathirika ni kina mama na watoto......

Huo ndio msingi sasa hapa wamevamia mpaka tulio mfungo Ramadhan na kujifanya watoa maoni n.k
 
elewa thread inasemaje
kinachozungumziwa ni mambo ya kiroho.
Sasa ww ulikuwa unataka wapigwe wauawe?
Haturuhusiw kuhukumu sbb Mungu pekee ndiye anayehukumu na s binadamu.
Kuwakemea na kuwatenga hiyo ruksa tunaruhusiwa.
Bac ww ukiwaona wapige risas bac

Tambua kama MUNGU alishatoa hukumu kuwa mwizi akatwe mkono, mzinzi apigwe mawe, yakifanyika hayo sio watu wanaohukumu, ni yeye MUNGU ndiye amehukumu. ni kama hakimu anapotoa sheria utandikwe viboko, mtandikaji hatoi hukumu aliyetoa hukumu ni yule aliyeweka hukumu/sheria hiyo.

Hao watu kusema na kukatazwa ni sawa manake aliyesema tuwakataze ndiye aliyehukumu, huyu NG'ONDA WENU NI PUNGA pia
 
Back
Top Bottom