sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,368
Ninatumah wote tu wazima, na tunaendelea na mfungo wa maombi ya kuombea Taifa letu kama tulivyo ombwa na Mh Rais wetu mpendwa.
Ninaomb niwe mkweli maana hakika mtu mkweli ni mpenzi wa MUngu tangu janga ili la corona limeingia nchini mwetu nilifurah sana serikali kutoa mwongozo wa yakuwa ni nani ambaye atatakiwa kuwa anazungumzia maradhi haya ya corona.
Nataka niseme ukweli wananchi wa Dsm tungeachwa tuwe tunapokea taarifa kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Dsm takwimu hizi tunazopewa sitanii zingekuwa mara kumi ya hizi taarifa.
Nina sema hivyo kwa sababu Mkuu wetu wa mkoa wa Dsm anakasumba ya kudhani kuwa mkoa wa Dsm una watu ambao ni mapoyoyo yani ni mtu ambae akiwa anazungumza anashindwa kutambua kuwa anaongea na watu ambao pengine wanamzidi Elimu,umri,kipato, watoto na nk
kama hiyo haitoshi basi hata kumzidi kiwango cha nizamu, mimi kwa kweli nmekuwa kila nikimuona huyu bwana anaongelea maradhi ya corona naisi yeye ndo kirusi cha corona chenyewe.
Tafadhali wana Dsm tufate maelekezo ya waziri wa afya tuachane na porojo za makonda tusivae Barakoa kumuogopa Makonda tuvae kumwogopa corona na tutiii maelekezo ya wataalamu na sio porojo zisizo na tija ila tunamtaka kuanzia kesho asambaze vifaa alivyopewa zikiwemo SENITAIZA kwa wananchi .
Ninaomb niwe mkweli maana hakika mtu mkweli ni mpenzi wa MUngu tangu janga ili la corona limeingia nchini mwetu nilifurah sana serikali kutoa mwongozo wa yakuwa ni nani ambaye atatakiwa kuwa anazungumzia maradhi haya ya corona.
Nataka niseme ukweli wananchi wa Dsm tungeachwa tuwe tunapokea taarifa kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Dsm takwimu hizi tunazopewa sitanii zingekuwa mara kumi ya hizi taarifa.
Nina sema hivyo kwa sababu Mkuu wetu wa mkoa wa Dsm anakasumba ya kudhani kuwa mkoa wa Dsm una watu ambao ni mapoyoyo yani ni mtu ambae akiwa anazungumza anashindwa kutambua kuwa anaongea na watu ambao pengine wanamzidi Elimu,umri,kipato, watoto na nk
kama hiyo haitoshi basi hata kumzidi kiwango cha nizamu, mimi kwa kweli nmekuwa kila nikimuona huyu bwana anaongelea maradhi ya corona naisi yeye ndo kirusi cha corona chenyewe.
Tafadhali wana Dsm tufate maelekezo ya waziri wa afya tuachane na porojo za makonda tusivae Barakoa kumuogopa Makonda tuvae kumwogopa corona na tutiii maelekezo ya wataalamu na sio porojo zisizo na tija ila tunamtaka kuanzia kesho asambaze vifaa alivyopewa zikiwemo SENITAIZA kwa wananchi .