state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
'Eti maisha yamekuwa magumu lini yalikuwa rahisi'
Kutuita praise team haitabadilisha ukweli,
kuwa kama nyie mnamchukia sio lazima na sisi tumchukie
Mlipo kuwa matesa hapa mjini mlitesa na ndugu zenu,hawala zenu na familia zetu mchuma janga hula na nduguze.
Wakati mnaiba PAC ,BANDARI,( Eti wazee wa bandari),TANAPA,ATC ,TIC,NSSF,NHC na kwingine hamkutuita
Wakati wa equalization ndio huu ,sisi tumeyazoea haya maisha ,tuliishi wa kamshahara na maiaha yakaenda so tulieni sindano iingie
State agent
Kutuita praise team haitabadilisha ukweli,
kuwa kama nyie mnamchukia sio lazima na sisi tumchukie
Mlipo kuwa matesa hapa mjini mlitesa na ndugu zenu,hawala zenu na familia zetu mchuma janga hula na nduguze.
Wakati mnaiba PAC ,BANDARI,( Eti wazee wa bandari),TANAPA,ATC ,TIC,NSSF,NHC na kwingine hamkutuita
Wakati wa equalization ndio huu ,sisi tumeyazoea haya maisha ,tuliishi wa kamshahara na maiaha yakaenda so tulieni sindano iingie
State agent