Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,802
Kila kitu kinalazimishwa utake usitake. Hii ndo slogan ya awamu ya 5. Wapinzani wamejitoa uchaguzi lakii serikali imetoa kauli kupitia Waziri husika kuwa uchaguzi utaendelea na wapinzani walioteuliwa watashiriki watake wasitake. Kwa utabiri wangu kitakachotokea ni mchezo ule ule wa kitoto.
Kwa baadhi ya kata mtashangaa wapinzani wameshinda, ku-fix mambo ili ile taswira ya demokrasia ionekane. Yaani wao ndio wataamua mpinzani gani wampe uenyekiti wa mtaa husika. Pia, naona harufu ya mapandikizi kama wale waliounga juhudi. Ambao watashiriki uchaguzi na hao ndio watakaotangazwa kushinda. Nyie subirini episode ijayo mtaamini maneno yangu.
Kwa baadhi ya kata mtashangaa wapinzani wameshinda, ku-fix mambo ili ile taswira ya demokrasia ionekane. Yaani wao ndio wataamua mpinzani gani wampe uenyekiti wa mtaa husika. Pia, naona harufu ya mapandikizi kama wale waliounga juhudi. Ambao watashiriki uchaguzi na hao ndio watakaotangazwa kushinda. Nyie subirini episode ijayo mtaamini maneno yangu.