Msiokuwa na kazi na mnajidekezadekeza kitaa huko soma hapa!!!!

kuna kidada flani kinasoma mwl nyerere university kinasomea mambo ya gender sijui nani alikidanganya maskini eti watu wa gender wanatafutwa sana na salary ni 4m khaaa nikakaangaliaaa, yaani kana kazi kubwa sana mbele yake, kwanza najua hakajui interview ni nini, halafu kwenye vacancy sijui mnisaidie km mmeona hizo post. Kingine nakaonea huruma maana toka kamekuja mjini kanalala na kila mwanaume kakitafuta pesa kamaweza hata kasifikie hata kupata kazi kakawa kameathirika. Nakasubiri kamalize chuo nione hiyo kazi ya 4m itakakopatikana.
 
Yaani umenifanya nicheke kwa loud speaker!
Leo mapema kuna mtu nimemuambia usinilalamikie tena huna kazi manake husaidiki! Kuna watu kama mizigo ya misumari!
kuna kidada flani kinasoma mwl nyerere university kinasomea mambo ya gender sijui nani alikidanganya maskini eti watu wa gender wanatafutwa sana na salary ni 4m khaaa nikakaangaliaaa, yaani kana kazi kubwa sana mbele yake, kwanza najua hakajui interview ni nini, halafu kwenye vacancy sijui mnisaidie km mmeona hizo post. Kingine nakaonea huruma maana toka kamekuja mjini kanalala na kila mwanaume kakitafuta pesa kamaweza hata kasifikie hata kupata kazi kakawa kameathirika. Nakasubiri kamalize chuo nione hiyo kazi ya 4m itakakopatikana.
 
Nimekumbuka ule usemi kuwa 'the graveyard is the only place full of unused resources'. ni heri umetema hizi busara mapema kabla ya kuitwa na mola
 
Mtoa mada uko sahihi sana, but inategemea na kazi yenyewe, hv wewe ni accountant halaf unapewa kazi ya Doctor,Engineering, Lawyer do u think u will fit and master it? Makampuni mangapi yanatangaza nafasi za kazi, wanazigawana kwanza wao humo ndani, wanachukua ndugu,jamaa zao zen after ndo wanazitangaza
Kila siku Barrick wanatangaza nafasi za kazi tena ukicheck Qualifications and job descripition unamit kabisa but hawakuit hata kwenye usail. Mimi nina mifano ya kutosha
Kuna rafiki yangu hana cheo kivile yupo North Mara Barrick,hua ananitumia nafasi za kazi kwenye mail yangu kila wakitangaza but after 2 weeks ndo wanazitangaza kwenye magazeti.
Juzi kati nilibahatika kufanya usail wa TRA tulifanya written nikawemo kwenye top 50,toka watu 400 nafasi walikua wanataka 40,nikafanya tena oral but kazi sijapata.Halafu unaniambia nikatembeze vyombo mtaani? Lets wait Tanzania inakua kama Nigeria mda si mrefu vijana hatuna ajira na serikali ipo kimya kama vile ipo likizo:hat::hat:
 
Ndugu Mtoa Mada, Ningependa kuchangia mada hii kama ifuatavyo.........
WAWEKEZAJI WAKATI WA UKOLONI WALISEMA ATUNA ELIMU, WATANZANIA SASA WANA ELIMU WANASEMA ATUNA EXPERIENCE,
Moja ningependa ueshimu kazi ya marketing as professional ambayo ndo inaendeleza kampuni yoyote kwa kiasi kikubwa but now days watu wamekuwa wakizarau watu wa marketing na kuwafanya kama walimu wa vodafasta.......tuchukuie mfano mtu kasomea engineering unampeleka marketing, Tatizo lilipo na tanzania yetu atueshimu professional na ndo maana muundi anaposhindwa kumpata mtu kutokana na professional yake anaajiri mtu yoyote tu, mtuu mwenye professional yake akubali salary ambayo akuipanga kupata, WHAT IS PROFESSIONAL, TANZANIA WAKATI WA UKOLONI, WAWEKEZAJI WALISEMA ATUNA ELIMU, WATANZANIA SASA WANA ELIMU WANASEMA ATUNA EXPERIENCE,

Mkuu umeongea ukweli asee. Watanzania tujifunze kuheshimu professional zetu. At least kwa zile fani zinazoshabihiana.
 
Naunga mkono hoja,kuna rafik yangu mmoja yeye alikua ana digree ya kilimo wakati huo mambo ya kilimo kwanza yalikua bado kuanza,akaniambia hapend kukaa bila kaz wa kuwa ombaomb,hvyo anaingia vitani kusaka kaz,yoyote itakayo jitokeza.baada ya miez 3,akawa anaosha magar,baada ya miez kama 7 akawa konda,baad ya muda akawa anaendesha gar ya familia kwa bos mmoja wa NBC,baad ya kama mwaka namkuta ni bank tellra,amekaa bank mwisho akawa afisa mikopo, mpaka leo ni branch manager lakn alijiendeleza
 
Mtoa mada hujakutana na ofic za wanyanyapaa. Mfano mimi, niliajiriwa kama akauntant ofc flan hivi. Basi mshahara kiduchu nkajisemea mwenyewe issue kukaza tu watanipa inkrimenti wenyewe watakapoona najituma. acha nipige mzigo, nyingine hata hazikua hata kwenye job description yangu. Kaazi ikawa mlima but still mshahara kuchuguu. Hapana nkajitoa mhanga kaenda omba nifanyiwe inkrimenti but lichojibiwa basi. Eti mi co akauntant paka niwe na cpa ndo kamshahara katapanda. Daah mechoka mwenyewe. Sa cjui cpa ndo anafanya kaz au mi ndo nafanya.
 
Pia msiangalie madhari ya ofisi wakati wa kuomba kazi maana kuna ambao wanaamini ofisi ikiwa ina facility nyingi na za gharama basi na malipo ni ya juu, kwa wawekezaji hizo ni tools za kufanya kazi iwe rahisi. Wewe ofisi ikiwa ina madhari nzuri au kawaida wewe ingia tu na ndio maana kuna ofisi zingine zinaonekana kawaida lakini malipo yake ni balaa
 
mi fani yangu marketing,na hua ninaomba kazi yoyote ikitangazwa ambazo naweza nikafanya nje ya proffessional yangu!bt stil ni nothing....
 
Dah asnte hapa umenkuna,skia hii hapa nlipo katika mkoa flani ktupo vijana wengi hapa mtaani kwetu tulio maliza chuo mwaka jana..cha ajabu mimi nafanya kazi ya sales of loan ktk kampuni flan napokea commission mpaka laki 9 nikishuka sana laki 5,wengi wao wana volunter sehem flani hivo wakikutana na mimi wananiambia napoteza time afu eti naishusha hadhi elimu yangu nami nawaambia tuone kati yangu na wao nan anaishusha heshima degree yake maan hata ukiwaambia wakuonyeshe angalau 2lfu 10 ni aibu tupu wakija geto kwangu kuna waka nami nawaambia japo kalibuni katika ulimwengu wa sales na markerting wanacheka na kunikejeli...imefikia hatua naona sales na markerting it is big deal hapa mjini huwez kufa njaa na popote pale unapiga kazi mpaka natamani nami ningesomea hii proffesional..nina mengi ya kusema ila basi tu....market for life..
 
mojoki, hata usingeandika, Avatar yako inaeleza hayo yote.

menkuna,skia hii hapa nlipo katika mkoa flani ktupo vijana wengi hapa mtaani kwetu tulio maliza chuo mwaka jana..cha ajabu mimi nafanya kazi ya sales of loan ktk kampuni flan napokea commission mpaka laki 9 nikishuka sana laki 5,wengi wao wana volunter sehem flani hivo wakikutana na mimi wananiambia napoteza time afu eti naishusha hadhi elimu yangu nami nawaambia tuone kati yangu na wao nan anaishusha heshima degree yake maan hata ukiwaambia wakuonyeshe angalau 2lfu 10 ni aibu tupu wakija geto kwangu kuna waka nami nawaambia japo kalibuni katika ulimwengu wa sales na markerting wanacheka na kunikejeli...imefikia hatua naona sales na markerting it is big deal hapa mjini huwez kufa njaa na popote pale unapiga kazi mpaka natamani nami ningesomea hii proffesional..nina mengi ya kusema ila basi tu....market for life
 
Thanks much Wadau cause mmetufungua na sisi 2naoanza vyuo mwaka huu... Acha tukasome tukijua mshahara wa hiyo profession hautazidi 200,000/=
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom