msingi wa Taifa lolote ndio unaofanya Taifa hilo kuwa na sauti moja,mwelekeo mmoja,Amani,Umoja na mawasiliano.Taifa linapokuwa haliujui msingi wake hushindwa kuutunza,kuulinda na kuutetea nahatimaye hujikuta linapoteza sauti moja,mwelekeo mmoja,Amani,Umoja na mawasiliano. watanzania msingi wa Taifa letu ni upi?