Msingi wa hii lugha ya kiingereza uko wapi?.

Sasa ukisoma kifaransa si utakufa kabisa!!

Lugha zilibuniwa tu hakuna chochote, kutamka, kuandika ilitegemea watu au mtu aliyeweka utaratibu.

Hata, wewe leo ukiamua kuandika lugha mpya ukaweka vionjo vyako itakuwa vivyo hivyo.
 
Ni creation tu ilivyo mkuu. Ulimwengu huu ni complex ili kuonyesha kuwa Mungu ni INFINITE. Hana mwisho. Hakuna kitu ambacho ni cha aina moja. Iwe ni ng'ombe, maboga, kunguru, mahindi, nk ----- lazima utakuta AINA AINA --- ndivyo ilivyo pia kwa lugha. Hicho unachoita msingi, hakiwezi kufanana kwa kila lugha. Wewe umeongelea herufi moja kuwa na matamko tofauti. Lakini pia kwenye Kiingereza kuna tamko moja herufi tofauti. Mfano, tamko /a/ lina herufi tofauti kwenye maneno come, cut, spark, bang nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom