chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,718
Habarini wana JF .mwaka ndio tumebakiza siku chache tuanze mapumziko na mambo mengine kuelekea mwezi wa 12.
Watu wengi tunatabia tulizojijengea ifikapo mwezi wa 12.
Mwezi wa 12 ni mwezi ambao unakutanisha ndugu waliokaa mda mrefu,shughuli za kijamii,utalii wa ndani,watu kutoka mbali,mapumziko yenye watu wengi,likizo mbali mbali na sikukuu Christmas na mwaka mpya.
Uzi huu utakuwa unatupa marejesho kuhusu mwezi wa 12 na matukio hata habari kuhusu mwezi wa 12
Watu wengi tunatabia tulizojijengea ifikapo mwezi wa 12.
Mwezi wa 12 ni mwezi ambao unakutanisha ndugu waliokaa mda mrefu,shughuli za kijamii,utalii wa ndani,watu kutoka mbali,mapumziko yenye watu wengi,likizo mbali mbali na sikukuu Christmas na mwaka mpya.
Uzi huu utakuwa unatupa marejesho kuhusu mwezi wa 12 na matukio hata habari kuhusu mwezi wa 12