mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Teh teh teh mimi nilizoea baba Gastón na Jim Reeves nyimbo zao zinatamba kuanzia tarehe moja desemba sasa ni giza tupu la baba jesca kilazaOf course maisha yetu halisi kwa kuangalia hali ya Baba yangu na Babu yangu ni ya dhiki na ufukara. Mimi nilijaribu kupambana kuondokana na ufukara lakini naona katika mwaka huu Mmoja nimepiga hatua saba nyuma. Mimi sikuwahi kuwa mpiga dili na sijui dili zinapigwaje wala msiniseme vibaya