AhahahaaHivi we jamaa hawa yanga unataka kuwa kopa ama nini, mbona unawapa ujiko hivi?
AhahahaaHivi we jamaa hawa yanga unataka kuwa kopa ama nini, mbona unawapa ujiko hivi?
Kwa Kujiamini kabisa tena kwa Jeuri zote nakuruhusu unitaje Majina yangu mpaka Picha zangu weka pia sawa?Hizo
Hizo zote ni hasira nakufahamu kifupi nyundo sura mbayaaa. Hujiamini ndo maana kutukana kwako ni fashion. Yani uliposema umesoma SAUT na jinsi unavyojibu jibu watu nimeikufahamu mpaka shati lako ulilokua unavaa kwa wiki nzima bila kubadilisha. Ulikua unajiona kichwaaa wakati unazidiwa mbali na kina fulani siwataji. Au unataka nikutajie jina lako hapa na uliekua unaishi nae room? Ulikua unakula makarai na masupp kila semister. Wadanganye wasiokufahamu. Ukibisha sema suuu nikutaje hapa... hahahahaha
Said idiot posing as a kingUkoo wako ungempata hata Mtu Mmoja tu mwenye angalau hata 15% tu ya 120% IQ yangu ungeringa na Kushangilia ila bahati mbaya imekuwa kinyume na kwamba kuanzia Wewe na Wao jumla ya IQ's zote ni - 0.3%.
ExactlyNa maana nyingine ya Juha ni Pumbavu.
Hapana mzee punguza makasirikioKuna mahala nimekulazimisha uyaamini?
Dimwit..!!Said idiot posing as a king
Nakurudisha shuleSasa kama umeshajua Mimi Mjinga unachohangaika na huu Uzi wangu mpaka unauchangia ni nini? Nikikuita Mpumbavu nitakuwa nakosea?
Kamrudishe huko Kwanza aliyekuwa.Nakurudisha shule
Na kweli.Mwaka Huu Maji, Watani Mtayaita Mma.