Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,054
Tusiwalaumu wasioendesha serikali kwa failure za serikali ya sasa. Makosa ya kina Mbowe hayajatufikisha hapa.Uko karibu sana na ukweli; na ukiangalia ni kana kwamba hakuna cha kujifunza tayari wameanza kuzungumza vile vile tena kuelekea 2020..
Na kwa taarifa yako, hata Dr angesimama na Maghufuli bado asingepita kwa mfumo wa uchaguzi uliopo.
Tusione giza tukakojoa ndani !! Huyu jamaa anaturudisha kwenye huo ujamaa bila plani mpya. Na hajajiuliza ni kwanini tulikwama hapo kabla.