Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,661
- 5,912
Hizi ni sababu zilizonifanya niandike hii mada
1) Tunapenda kulalamika kuliko kutatua matatizo.
2) Kila kitu tunategemea serikali itufanyie
3) Kwenye kila jambo tunatanguliza matumbo yetu badala ya Taifa
4)Tunapenda ngono na starehe kuliko kazi
5)Tunakimbia changamoto
6)Uvivu uliopindukia na kupitiliza kiwango cha uvivu wa binadamu wa zama hizi
7) Kupenda vya bure.. hapa naongelea misaada ya wahisani
8) Kufanya kazi bila matokeo kuonekana..
9) Kuendekeza wizi,ufisadi na udokozi kwenye sehemu za kazi.
Binafsi nadhani hatutaweza kubadilika lakini tuna jukumu kubwa la kuhakikisha kizazi kijacho kiwe na tabia na sifa tofauti na hizi.
1) Tunapenda kulalamika kuliko kutatua matatizo.
2) Kila kitu tunategemea serikali itufanyie
3) Kwenye kila jambo tunatanguliza matumbo yetu badala ya Taifa
4)Tunapenda ngono na starehe kuliko kazi
5)Tunakimbia changamoto
6)Uvivu uliopindukia na kupitiliza kiwango cha uvivu wa binadamu wa zama hizi
7) Kupenda vya bure.. hapa naongelea misaada ya wahisani
8) Kufanya kazi bila matokeo kuonekana..
9) Kuendekeza wizi,ufisadi na udokozi kwenye sehemu za kazi.
Binafsi nadhani hatutaweza kubadilika lakini tuna jukumu kubwa la kuhakikisha kizazi kijacho kiwe na tabia na sifa tofauti na hizi.