Zed
JF-Expert Member
- Mar 28, 2009
- 430
- 249
Hili ndilo tatizo letu watanzania, tunataka watu wote wawe na mawazo sawa. Simply kwa kuwa mtu anapingana na vitu fulani na Zitto aimanishi ya kuwa ni chiki binafsi, bali kuna sababu za msingi anapingana naye.
Sasa unaona posti zinazomlaumu na kumlaani Zitto bila kutoa supportive arguments, ndio maana nasema hizi ni chuki tu. Tufike mahali tuache tukubali vipaji vya watu badala ya kumchukia mtu just for the sake ya kumchukia tu!