Ngonepi
JF-Expert Member
- Jun 2, 2013
- 1,872
- 1,200
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasubir apate gahawa mkuuAsubuhi hii uko msimbazi hata kadi ya mwanachama hai huna.Nyie ndo wapiga kelele wenyewe
TayariMikia FC katika ubora wao
Shauri yako! Tazama vyura waliovaa ndala watakavyokunanga! Nakutakia unangwaji mwema, amen!
we mwizi?Usiku!!
Inawezekana unapanga, au unaishi kwa wazazi, unamponda menye kwake.Iyo nyumba ya mganga wa kienyeji ama!?
Inawezekana unapanga, au unaishi kwa wazazi, unamponda menye kwake.
Unajua neno panic wengi tunalitafsili tofauti, na kusababisha kuliweka pasipostahili, wengi tunalitumia neno hili, kama jazba yaani panic maana yake jazba. Kumbe neno hili linaingia hapa, kuwa wasiwasi, kutujiamini, hofu, kunakotokana kupata/kona jambo fulani wakati huo huo, kwa maana nyingine huitwa mchecheto.Sasa hapo kwako sioni, cha kunifanya niwe na panic.Hahaha mbona kama umepaniki Kiongoz kuna shida yoyote,
Unajua neno panic wengi tunalitafsili tofauti, na kusababisha kuliweka pasipostahili, wengi tunalitumia neno hili, kama jazba yaani panic maana yake jazba. Kumbe neno hili linaingia hapa, kuwa wasiwasi, kutujiamini, hofu, kunakotokana kupata/kona jambo fulani wakati huo huo, kwa maana nyingine huitwa mchecheto.Sasa hapo kwako sioni, cha kunifanya niwe na panic.
. Haya nakubari, ila imenipa faida ya kuweza kutambua hata umri wako, wewe ni mtu wa umri kati ya 17 hadi 26.Basi una mchecheto,..