​Hivi majuzi , mzee Kisumo alipokuwa anahojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa Nyerere alipokwenda UN kati ya mwaka 1955, 1956 na 1957 alikutana na Cheaf Marealle akimpinga Tanganyika kupewa uhuru, au akitaka uhuru wa KILIMANJARO pekee(Chagga land)!
Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.
Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.
UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.
Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.
Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.
Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.
Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.
UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.
Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.
Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.