Msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kuhusiana na mambo ya kusamehewa na Rais

Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Sijui kwanini naona umepoteza legitimacy kwa taifa lako, sijui wenzangu wanaonaje maana we perceive things differently, lakini nafikiri kwa mtu kama mimi ukiniuliza, huwezi kuwa huna ulterior motives behind whatever you do or say!

Whatever you will say siyo rahisi kuiamini dhamira yako....

May God keep and protect my country and its people!
 
Hilo la mwisho, nakubaliana na wewe. Mengine yabaki kuwa mtazamo na maoni yako, nayaheshimu sana...

Lakini CHADEMA iko maili nyingi zaidi ya ushauri wako ktk paragraph ya mwishoni...

Na nikuulize swali maana wewe na huyu ndugu Stuxnet ni kama hamuijui CHADEMA na kwamba inaongozwa na watu wajinga sana wasiojua uongozi na pengine mkipewa nyie you can do more miracles than these already existed...

Huku nyie mkiwa na fikra hizo za kuiona CHADEMA si lolote, si chochote wenzenu chama chenye dola - CCM wakiiona CHADEMA the biggest threat of their entire political life since 1995 tulipokuwa na uchaguzi wa kwanza Wa vyama vingi. Usiku na mchana sana haha wafanyeje kuidhibiti mpaka wanaanza kutumia njia za kijambazi na mauaji na kutwngeñeza kesi feki zisizo na dhamana mahamakani..

Na kwa hofu hii, CCM kwa sababu tu wanà serikali mikononi mwao wanatumia kila njia OVU na HILA za kidola kukidhooficha chama hiki na ikibidi hata kukitoa katika picha (usajili)....

LAKINI ni takribani miaka 15 sasa majaribio yao ya kukidhoofisha yameshindwa spectacularly huku kikiendelea kuvutia maelfu ya watu wazee kwa vijana, wanawake kwa wanaume kujiunga na wengine kuwa wafuasi na mashabiki tu...

Ona sasa hivi M/kiti Wa chama taifa akiwa gerezani kwa kesi hatari ya kubumba, strategists wa chama wako field wakiandisha wanachama ktk mfumo wa ki - electronic maarufu kama CHADEMA DIGITAL...

Sasa wewe Stuxnet hiyo hoja ya CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA inasimamia miguu gani eti? That's huko nyuma nimekuambia hata huijui CHADEMA wewe..!

Najaribu kujiuliza mtu kama Stuxnet sijui hata anapata wapi guts za kusema chama hiki hakina wazee washauri na wana mikakati (strategists) ndani ya chama...

Hebu tuacheni mabezo ya namna hii jamani. Tuwape credits CHADEMA kwa sababu walishavuka viwango vya NCCR - Mageuzi ya kina Marando na Augustino Lyatonga Mrema ya (1995 - 2000) au CUF (2000 - 2015) ya Prof. Lipimba, hàyati Maalim Seif Sharif Hamadi na Hamad Rashidi...

For sure, CHADEMA hii kama chama cha siasa ina nguvu kuliko hata CCM bila kujali madhila kinachopitia. Sasa itakuwa ni mjinga pekee kubeza nguvu ya chama hiki hata kudai kina uongozi dhaifu.....!

Chama cha siasa chenye uongozi dhaifu au kisichokuwa na wazee washauri wazuri au kisichokuwa na Leadeship Organizational Structure nzuri huwa hakikui na hujifia chenyewe taratibu lakini sio CHADEMA hii. Hopefully, nduguStuxnet utakuwa umenielewa...
Nimekuelewa The Palm Tree, ila ushauri ni hiari kufuata au kutofuata
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Wewe Hata usifu na kuabudu kwa kiasi gani siku ukiingia bongo utajikuta ndani ya kile kisima cha pale Makumbusho.
 
Juzi katika kikao cha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa demokrasia iliibuka tafrani kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudaiwa kuwa Zito alimuombea Msamaha kwa Rais Mheshimiwa Mbowe.

Jambo lile lilipingwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu kwa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea Mahakamani.

Viongozi mbalimbali wa Chadema kama vile Mheshimiwa Tindu Lisu pia walipinga msamaha ule kwa kile nilichoeleza hapo juu kwamba kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Kuna kundi dogo la watu wenye akili fupi hasa kutoka CCM ambao waliunga mkono wazo la kusamehewa Mheshimiwa Freeman Mbowe bila ya kuangalia katiba yetu inasemaje.

Sasa leo nimewaletea video fupi ya Mheshimiwa Freeman Mbowe ambapo katika video hiyo anatoa msimamo wake juu ya masuala hayo.

Ukiangalia video hii utagundua ni nani yupo sahihi kati ya Zito aliekuwa anamuombea msamaha mheshimiwa freeman Mbowe,kikundi cha wale watu waliounga mkono wazo lile na watu ambao walipinga suala la kuombewa msamaha Mheshimiwa Freeman Mbowe kama vile Lissu na wanachama wa chadema.

Karibuni kuangalia video hii ili mpate kujua msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka kwake yeye mwenyewe.
View attachment 2047607
I fully support Mbowe's bold stance on this unmerited and questionable case, he has spoken out his mind to protect his dignity
 
Hilo la mwisho, nakubaliana na wewe. Mengine yabaki kuwa mtazamo na maoni yako, nayaheshimu sana...

Lakini CHADEMA iko maili nyingi zaidi ya ushauri wako ktk paragraph ya mwishoni...

Na nikuulize swali maana wewe na huyu ndugu Stuxnet ni kama hamuijui CHADEMA na kwamba inaongozwa na watu wajinga sana wasiojua uongozi na pengine mkipewa nyie you can do more miracles than these already existed...

Huku nyie mkiwa na fikra hizo za kuiona CHADEMA si lolote, si chochote wenzenu chama chenye dola - CCM wakiiona CHADEMA the biggest threat of their entire political life since 1995 tulipokuwa na uchaguzi wa kwanza Wa vyama vingi. Usiku na mchana sana haha wafanyeje kuidhibiti mpaka wanaanza kutumia njia za kijambazi na mauaji na kutwngeñeza kesi feki zisizo na dhamana mahamakani..

Na kwa hofu hii, CCM kwa sababu tu wanà serikali mikononi mwao wanatumia kila njia OVU na HILA za kidola kukidhooficha chama hiki na ikibidi hata kukitoa katika picha (usajili)....

LAKINI ni takribani miaka 15 sasa majaribio yao ya kukidhoofisha yameshindwa spectacularly huku kikiendelea kuvutia maelfu ya watu wazee kwa vijana, wanawake kwa wanaume kujiunga na wengine kuwa wafuasi na mashabiki tu...

Ona sasa hivi M/kiti Wa chama taifa akiwa gerezani kwa kesi hatari ya kubumba, strategists wa chama wako field wakiandisha wanachama ktk mfumo wa ki - electronic maarufu kama CHADEMA DIGITAL...

Sasa wewe Stuxnet hiyo hoja ya CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA inasimamia miguu gani eti? That's huko nyuma nimekuambia hata huijui CHADEMA wewe..!

Najaribu kujiuliza mtu kama Stuxnet sijui hata anapata wapi guts za kusema chama hiki hakina wazee washauri na wana mikakati (strategists) ndani ya chama...

Hebu tuacheni mabezo ya namna hii jamani. Tuwape credits CHADEMA kwa sababu walishavuka viwango vya NCCR - Mageuzi ya kina Marando na Augustino Lyatonga Mrema ya (1995 - 2000) au CUF (2000 - 2015) ya Prof. Lipimba, hàyati Maalim Seif Sharif Hamadi na Hamad Rashidi...

For sure, CHADEMA hii kama chama cha siasa ina nguvu kuliko hata CCM bila kujali madhila kinachopitia. Sasa itakuwa ni mjinga pekee kubeza nguvu ya chama hiki hata kudai kina uongozi dhaifu.....!

Chama cha siasa chenye uongozi dhaifu au kisichokuwa na wazee washauri wazuri au kisichokuwa na Leadeship Organizational Structure nzuri huwa hakikui na hujifia chenyewe taratibu lakini sio CHADEMA hii. Hopefully, nduguStuxnet utakuwa umenielewa...
Yote sina shaka, tatizo langu ni ku compromize mambo ya taifa letu just for your own interests za kuchukua uongozi wa nchi hata kwa njia zitakazo tuingiza kwenye mitego ambayo tutashindwa kuivuka for generation...
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.

Kwenye haya Mapambano wewe uko upande gani mkuu?
 
Vyama 19 vitajijenga vipi kama havifanyi shughuli za siasa.
Waliochaguliwa ndio wafanye mikutano maeneo yao.
Hivi vyama 18 vifutwe kwakuwa havitimizi majukumu yao.
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Doh!!!Ila ni ukweli ujue...
 
Juzi katika kikao cha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa demokrasia iliibuka tafrani kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudaiwa kuwa Zito alimuombea Msamaha kwa Rais Mheshimiwa Mbowe.

Jambo lile lilipingwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu kwa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea Mahakamani.

Viongozi mbalimbali wa Chadema kama vile Mheshimiwa Tindu Lisu pia walipinga msamaha ule kwa kile nilichoeleza hapo juu kwamba kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Kuna kundi dogo la watu wenye akili fupi hasa kutoka CCM ambao waliunga mkono wazo la kusamehewa Mheshimiwa Freeman Mbowe bila ya kuangalia katiba yetu inasemaje.

Sasa leo nimewaletea video fupi ya Mheshimiwa Freeman Mbowe ambapo katika video hiyo anatoa msimamo wake juu ya masuala hayo.

Ukiangalia video hii utagundua ni nani yupo sahihi kati ya Zito aliekuwa anamuombea msamaha mheshimiwa freeman Mbowe,kikundi cha wale watu waliounga mkono wazo lile na watu ambao walipinga suala la kuombewa msamaha Mheshimiwa Freeman Mbowe kama vile Lissu na wanachama wa chadema.

Karibuni kuangalia video hii ili mpate kujua msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka kwake yeye mwenyewe.
View attachment 2047607
Kibri,dharau,kujikweza,majivuno ndivyo vilivyoivaa hii sura.
 
Kibri,dharau,kujikweza,majivuno ndivyo vilivyoivaa hii sura.
Mbowe yeye anataka haki na wala siyo hisani au upendeleo.

Kibri,dharau,kujikweza,majivuno ni haya hapa👇
7nbv654311.jpg
 
Naamini kama atapatikana na hatia Rais kwa kutumia mamlaka yake atamsamehe. Kwa sasa hawezi kutoam msamaha kwa kuwa hajapatikana na hatia atasamehewa kwa lipi.
DPP afute kesi.. Ofisi ya DPP iko kwa katiba yetu.
 
Zitto alimfikishia ujumbe gani mama?? Na nini kitachofuata baada ya hayo?
Zitto ni pandikizi la CCM ndani ya upinzani.Anafanya mission za TISS.Kwani hujasoma huku JF kwamba Mbowe ametoa taarifa kuwa hajawahi kuwa na mpango wa kuomba msamaha?Sasa kama Mbowe hajawahi kuwa na mpango wa kuomba msamaha iweje Zitto alazimishe misamaha?
16398017849610.jpg
16398021224721.jpg
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom