nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Nimependa tamko la polisi! Wameeleweka vizuri sana! Chadema aibu yao!
Aibu ni ya kwako wewe unayeshangilia polisi kuua na ni ya Polisi.Polisi siku zote wao huwa wanajiweka juu ya sheria na hata siku moja hawawezi kuandika taarifa ya kujihukumu kuwa wao wana makosa.
Mbona wana Chadema waliandamana jana bila kuwepo hao Polisi.Kama watu waliandamana hiyo tartehe 5 kwa kilometa moja bila fujo yeyote na ni nani alieanzisha fujo kama sio polisi.Polisi wangewasindikiza tu mpaka NMC na hali ingekuwa shwari.Aibu ni ya Polisi na CCM