Msimamo wa Dr Mpango ndio walichokikosa wasomi wetu

Nimependa sana msimamo wa Dr Mpango kwenye hili suala la makontena ya samani. Kusimamia katika kile unachokiamini, kutokubali kumnyenyekea mtu ambaye yupo kwa ajili ya maslahi fulani ya kwake binafsi na ni ya muda mfupi tu.
.

Kweli kabisa Dr Mpango alijilipua yaani alikuwa amekasirika sana hata ukiona video ile anaongea mpaka unaona mshipa juu ya jicho la kulia lacheza.

Nadhani ingawaje dhana ni mbaya lakini jinsi alivyoongea kwenye clip na kusema yuko tayari kujiuzulu kuna kitu nyuma ya pazia ambalo limemkera sana tena sana.
Halafu media house zote zilikosa kuandika kuwa yuko tayari kujiuzulu ambayo kwangu niliona ni habari nzito zaidi.
Nani yuko nyuma ya PAZIA ndio kitu cha kujiuliza
 
Philipo kwenye sakata hili la macontainer limeacha shaka kubwa kwenye msimamo wa rais kuhusu ulipaji wa kodi. Huyo Mpango amejututumua lakini hatua alizochukua hazitoshi na bado zinanyesha kuna shida kwenye utendaji. Kwa Magufuli ninayemfahamu hili jambo angeshachukua hatua kama hana maslahi nalo, Nakumbuka kuna watu amewachukulia hatua za wazi kuhusu ulipaji wa kodi kwakuwa hawakuwa upande wake kiitikadi nk. Na ushahidi wa hayo upo wazi.

Huyu Makonda aliyeomba kuwadhibiti/kupambana na wasiomuunga mkono rais siku ya upokeaji wa ndege yetu moja, inakuwaje yeye hamuungi mkono rais kwa kulipa kodi zaidi ya kuacha laana. Huyu Makonda kwa mujibu wa habari zisizodhibitishwa ndiye mratibu wa kundi la watu wasiojulikana na kundi hili limejinasibu kupambana na watu wasio wazalendo . Kumbuka sasa uzalendo una tafsiri mpya ya kukubali kila linalofanywa na rais. Sasa iweje yeye hamuungi mkono rais au haonyeshi uzalendo wa kulipa kodi tena kwa samani alizoonyesha kudanganya matumizi.

Sakata hili limemuweka rais katika tasirwa mbaya sana. Kwamba huenda anafahamu huo mzigo wa Makonda au ana maslahi nao, ama kuna uhusiano wenye nia ovu baina ya wawili hao kiasi hawezi kuchukua hatua. kwa hiyo kwenye hili hakuna sifa ya usomi wala nini sana sana imeonyesha ukiwa humsifii rais kodi itatumika kama sehemu ya kukukomoa, ila ukimsifia kodi utalipa kwa mapenzi yako.
Mkuu mzigo ule ni wa magufuli, Makonda ni geresha tu.
 
Mwalimu wa Sekondari wa somo la Biology aliwahi kusema tukiwa kidato cha pili, kwamba ulichonacho kichwani huwa hakipotei. Alikuwa sahihi na bado kauli yake ni sahihi.

Nimependa sana msimamo wa Dr Mpango kwenye hili suala la makontena ya samani. Kusimamia katika kile unachokiamini, kutokubali kumnyenyekea mtu ambaye yupo kwa ajili ya maslahi fulani ya kwake binafsi na ni ya muda mfupi tu.

Shule iliyo kichwani haipotei, kazi moja ikiharibika basi ni lazima itapatikana nyingine tena nzuri zaidi. Wanataaluma wa kitanzania wanajikuta wakidhalilishwa na wanasiasa ambao wanaishi kwa kutegemea upepo wa muda fulani tu.

Dr Mpango kaonyesha kuwa elimu yake aliyoisotea kwa muda mrefu inastahili kuheshimiwa. Maadili ni kitu muhimu kuliko sifa za mtu kuonekana kwenye ukurasa wa kwanza wa gazeti.

Nidhamu ya kimaisha sio kuishia kujua kuvaa tai nyekundu na shati jeupe. Ni mtiririko mzima wa kuishi kwa kufuata kanuni zinazoeleweka. Taaluma zinatokewa jasho, tofauti kabisa na sanaa ya kujua kuongea mbele ya camera.

Hongera Dr Mpango kwa ujasiri wako. Tumezoea kuona wanataaluma wakidhalilika kwa sababu ya ignorance ya jamii. Ni lazima hulka ya kipuuzi itutoke sisi watanzania. Vipo vya kupuuza lakini sio elimu.

Vipo vya kudharau lakini sio kitu kinachoishi ndani ya ubongo, kitu ambacho hakiwezi kuibiwa kwa mikono ya binadamu.
Mkuu unachanganya elimu na uadilifu
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe wauza madawa ndio wenye uchungu na nchi hii tofauti na watoto wapendwa ccm. kumbe pia dr mpango naye ni muuza madawa wa ufipa pamoja na magufuli aliyesema makonda alipe kodi
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani suala la kudhibiti madawa ya kulevya na mimi nilimuunga mkono na naendelea kumuunga mkono Makonda. Ila uungaji mkono huu hauwezi kunifanya nimuonee huruma Makonda kwa nia yake inayoonekana inataka kuhujumu uchumi wa nchi yetu kupitia staili inayoonekana ni mpya ya ukwepaji wajibu wa kiraia wa kukuza uchumi kwa kulipa kodi.

Katika suala la makontena, Makonda alipe kodi. Mh. Waziri Mpango na Mh. Rais Magufuli wamelifafanua vizuri suala hili. Makonda atimize wajibu tu.
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe hamnazo
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani suala la kudhibiti madawa ya kulevya na mimi nilimuunga mkono na naendelea kumuunga mkono Makonda. Ila uungaji mkono huu hauwezi kunifanya nimuonee huruma Makonda kwa nia yake inayoonekana inataka kuhujumu uchumi wa nchi yetu kupitia staili inayoonekana ni mpya ya ukwepaji wajibu wa kiraia wa kukuza uchumi kwa kulipa kodi.

Katika suala la makontena, Makonda alipe kodi. Mh. Waziri Mpango na Mh. Rais Magufuli wamelifafanua vizuri suala hili. Makonda atimize wajibu tu.
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo magufuli na mpango anambana makonda ili wauze madawa bila vikwazo?
 
kumbe wauza madawa ndio wenye uchungu na nchi hii tofauti na watoto wapendwa ccm. kumbe pia dr mpango naye ni muuza madawa wa ufipa pamoja na magufuli aliyesema makonda alipe kodi
Hii ni comment iliyoshiba
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu edit jina lako ,hapo kwenye Et weka B ili iendane na ulichoandika
 
Mwalimu wa Sekondari wa somo la Biology aliwahi kusema tukiwa kidato cha pili, kwamba ulichonacho kichwani huwa hakipotei. Alikuwa sahihi na bado kauli yake ni sahihi.

Nimependa sana msimamo wa Dr Mpango kwenye hili suala la makontena ya samani. Kusimamia katika kile unachokiamini, kutokubali kumnyenyekea mtu ambaye yupo kwa ajili ya maslahi fulani ya kwake binafsi na ni ya muda mfupi tu.

Shule iliyo kichwani haipotei, kazi moja ikiharibika basi ni lazima itapatikana nyingine tena nzuri zaidi. Wanataaluma wa kitanzania wanajikuta wakidhalilishwa na wanasiasa ambao wanaishi kwa kutegemea upepo wa muda fulani tu.

Dr Mpango kaonyesha kuwa elimu yake aliyoisotea kwa muda mrefu inastahili kuheshimiwa. Maadili ni kitu muhimu kuliko sifa za mtu kuonekana kwenye ukurasa wa kwanza wa gazeti.

Nidhamu ya kimaisha sio kuishia kujua kuvaa tai nyekundu na shati jeupe. Ni mtiririko mzima wa kuishi kwa kufuata kanuni zinazoeleweka. Taaluma zinatokewa jasho, tofauti kabisa na sanaa ya kujua kuongea mbele ya camera.

Hongera Dr Mpango kwa ujasiri wako. Tumezoea kuona wanataaluma wakidhalilika kwa sababu ya ignorance ya jamii. Ni lazima hulka ya kipuuzi itutoke sisi watanzania. Vipo vya kupuuza lakini sio elimu.

Vipo vya kudharau lakini sio kitu kinachoishi ndani ya ubongo, kitu ambacho hakiwezi kuibiwa kwa mikono ya binadamu.
You guys are being taken for a ride.Read between the lines......!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakataaa. Kama ni wa magufuli, asingeshindwa kuchukua kwakua yeye ndiye rais na ana mamlaka ya kusamehe kodi
Kwani unaona kuna hatua kachukua??

Magufuli ni mwizi asiyepend ajulikane kutokana ña uongo wàke wakujifanya mkweli na muungwana, mwisho wa siku anafamya mambo bila kuwasiliana na vyombo husika kupitia Bashite akidhani vyombo hivyo havitamgusa DAB.

Sakata la 1.5T ilikuwa hivi hivi, hakumjukisha CAG, na hata wachambuzi wa ripoti ya CAG( ikulu) hawakugundua madudu yake kwani hawakuwa na taarida yoyote. Magufuli alishituka baada ya ripoti kuwa published na wataalam wengine wa mahesabu wakagundua na kulieweka wazi.
 
SI AJABU AKAONEKANA NDIO MZEMBE! MAANA MTOTO KWA BABA BWANA.
KWA KASHFA ILE ANGEKUWA MWINGINE SASA HIVI TOPIC INGEKUWA INGINE KUHUSU U-rc WA BASHITE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom